Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza leseni za michezo ya kubahatisha ili vijanawaujikite zaidi katika shughuli za uzalishaji.
Waziri Kombo amesema hayo leo Februari 16, 2026 alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya Rais Samia kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa, nchini Ethiopia.
Soma ilikoanzia > Serikali ipige marufuku mashine za Kamari Gudugudu, hakuna uzalishaji wala huduma inayotolewa zaidi ya uraibu kwa vijana na tishio kwa taifa
Waziri Kombo amesema hayo leo Februari 16, 2026 alipokuwa akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya Rais Samia kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa, nchini Ethiopia.
Soma ilikoanzia > Serikali ipige marufuku mashine za Kamari Gudugudu, hakuna uzalishaji wala huduma inayotolewa zaidi ya uraibu kwa vijana na tishio kwa taifa