Waziri Kombo ahutubia mkutano wa pili wa jukwaa la Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Afrika na Urusi

Waziri Kombo ahutubia mkutano wa pili wa jukwaa la Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Afrika na Urusi

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
261
Reaction score
199
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akihutubia Mkutano wa Pili wa Jukwaa la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Urusi uliofanyika tarehe 19 na 20 Disemba, 2025, jijini Cairo, Misri.

Mkutano huo ulihudhuriwa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika, Jumuiya za Kikanda za Afrika pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi.

Mkutano huo uliofanyika chini ya Wenyeviti Wawili, Mheshimiwa Dkt. Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Mhe. Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Urusi.

 
Urusi hana chochote cha kuinufaisha Afrika labda kama wanataka kununua silaha, sasa silaha na njaa ni wapi na wapi.
 
Jitihada za huyo Kombo kutaka kuonana na US Secretary of State Bw. Marco Rubio zimegonga mwamba baada ya kutokupewa miadi na hata alivyorudi Ulaya ili aonane na katibu mkuu wa jumuiya hiyo pia akagonga mwamba hali inayoonyesha kwamba Tanzania ina wakati mgumu sana huko tuendako.
 
Urusi itamsaidia nini labda amuombee Abdul aongezewe bunduki na risasi.
 
Urusi hana chochote cha kuinufaisha Afrika labda kama wanataka kununua silaha, sasa silaha na njaa ni wapi na wapi.
Silaha ndio hitaji kuu wakati huu, na dalali Chivayo anafanya kwa weledi bidhaa ifike Tanzagiza.

Njaa mtajua wenyewee.
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akihutubia Mkutano wa Pili wa Jukwaa la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Urusi uliofanyika tarehe 19 na 20 Disemba, 2025, jijini Cairo, Misri.

Mkutano huo ulihudhuriwa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika, Jumuiya za Kikanda za Afrika pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi.

Mkutano huo uliofanyika chini ya Wenyeviti Wawili, Mheshimiwa Dkt. Badr Abdelatty, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Mhe. Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Shirikisho la Urusi.

Kaenda Urusi kwani silaha zimepungua
 
vipi hajamtaja samia huko maana wapewa vyeo wa nchi hii wanapenda sana kumtukuza aliyewapa ulaji kuliko utendaji wa mada iliyoko mezani yaani lazima watoke nje ya mada inayojadiliwa na kuchomeka yasiyo kwenye agenda ya mkutano
 
Urusi hana chochote cha kuinufaisha Afrika labda kama wanataka kununua silaha, sasa silaha na njaa ni wapi na wapi.
Mbolea tunazotumia miaka mingi hutola urusi, urusi ana ngano nyingi tu,mafuta ya kumwaga,kwa hiyo bracket ya njaa ondoa
 
Mbolea tunazotumia miaka mingi hutola urusi, urusi ana ngano nyingi tu,mafuta ya kumwaga,kwa hiyo bracket ya njaa ondoa
Russia is not a development partner to the African continent.

The only continent's interaction with the once communist state is when a country wants to buy weapons made in Russia most of which are beyond the budget of most of the African nations.

The importation of goods like fertilizer and wheat by African countries from Russia is on a low scale owing to the expensive nature of those products when sourced from Russia.
 
Silaha ndio hitaji kuu wakati huu, na dalali Chivayo anafanya kwa weledi bidhaa ifike Tanzagiza.

Njaa mtajua wenyewee.
Wala Tanzania hainunui silaha kutoka Russia kwa muda mrefu kwa sababu ya ughali wake.
 
Back
Top Bottom