Waziri Kombo ahitimisha ziara nchini Uturuki

Waziri Kombo ahitimisha ziara nchini Uturuki

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake nchini Uturuki.

Katika ziara hiyo ameshiriki Mkutano wa 4 wa Diplomasia wa Antalya (Antalya Diplomacy Forum - ADF2025) na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu Serikalini kutoka sehemu mbalimbali akiwemo Rais wa Kosovo, Waziri wa Fedha wa Uturuki, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Teknolojia linaloshughulikia nchi zenye uchumi wa chini na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine

 
Mhe. Kombo anapiga sana kazi, kwa hakika hawa ndio wanaomsaidia Mhe. Rais kikamilifu.
 
Wizara imepoteza mvuto, na imepoa kama chai mbichi.
 
Back
Top Bottom