This would have been the best moment kujua hawa wanaotaka kuchukua nafasi ya CCM wangehandle vipi hizi issues
tatizo FREEMAN Mbowe kaingia mitini
DR SLAA haonekani
Waziri kivuli wa afya naye haonekani
naanza kuamini kuwa chadema ni CCM B kwani hawafanyi kazi ki professional na style yao ya kukimbia majukumu inakatsha sana tamaaa
hivi vyama vingine vya upinzani vimeishakata tamaa ya kuchukua dola - kimebaki CHADEMA tu? Kimya kingi kina mshindo, hataki kukurupuka na majibu mepesi, kama serikali dhaifu, na liwalo na liwe