callixtus
Member
- May 7, 2015
- 86
- 31
mambo yanayomfanya mtu asome kwa bidii ni pale anapoona aliyesoma anakuwa na maisha mazuri mfano utamwambia nini mtoto wa mfugaji ambaye baba yake anafoleni ya walimu kwenda kuomba pesa za riba umwambie na yy asome wakati walimu wanaongoza kwa njaaa? kwa hili mh hata increment kweli mmetuvunja moyo kiukweli sijui tunaelekea wapi maana tutaendelea kufanya kazi kwa manung'uniko