Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo wakati akizungumza na ITV amesema, Serikali ya Tanzania imesema haijawafukuza na wala haina mpango wa kuwafukuza wafanyabiashara wa nje ya nchi waliopo nchini, isipokuwa imetoa katazo kwa wafanyabiashara hao kufanya biashara ndogo ndogo zinazofanywa na wazawa.