Kama tulivyohamasishwa tukajitokeza kwa wingu kujiandikisha, vivyo hivyo tuhamasishe watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura
P
Mkuu Learned Brother Petro E. Mselewa,
Katika mitaa na vijiji ambavyo wagombea wa CCM wamepita bila kupingwa, mshukuruni Mungu kwasababu ni Mungu amewapigia kura, laleni miguu juu mkisherehekea Mibaraka ya kuokoa time, money and resources, kwasababu hata kote zitakapopigwa kura, mshindi ni CCM.
kiukweli Magufuli ni chaguo la Mungu.
Anabarikiwa sana wagombea wa CCM wanapita bila kupingwa, Tanzania itabarikiwa sana na CCM itatawala milele
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
kupiga kura zip wkt wamepita bila kupngwaKama tulivyohamasishwa tukajitokeza kwa wingu kujiandikisha, vivyo hivyo tuhamasishe watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura
P
If you can't get what you want, just take what you get.Kwenden wenyw c ulishasema ushind mtamu ni ule wa kushindana au umesahau?
Mkuu Mnyonge wa hali ya Chini, uko very right mimi ni mmoja wao tena nilijisema Wazi uwaziMimi mwanzoni nilidhani wewe pascal ni mtu mwenye akili na heshima kabisa kumbe na wewe ni miongoni mwa wale wa zile asilimia za Twaweza?
Yes kama tangu mwanzo tulimsifia Magufuli kama Nyerere,Maisha yanaenda kasi sana yani ndani ya 4 years tumerudi enzi za TANU...
Yes kama tangu mwanzo tulimsifia Magufuli kama Nyerere,
Magufuli kama Nyerere: Ni mtu wa watu, hapapasi, hamung'unyi, ni kazi tuu, ila pia sio kama Nyerere!
Wanabodi, Naomba kuanza kwa kudeclare interest, japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini sio mfuasi wa mwanasiasa yoyote, wa chama chochote, ila kuna baadhi ya viongozi nilikuwa nawakubali sana!, John Pombe Magufuli, hakuwa ni miongoni mwao, kwa sababu kadhaa wa kadhaa, moja ikiwa...www.jamiiforums.com
Anapofanya mambo Kinyerere Nyerere pia tumpongeze
P
- Anachukia rushwa kwa dhati ya moyo wake
- Amehamishia Makao Makuu Dodoma
- Ametekekeza mradi wa Stigler
- Anabana matumizi,
- Amefufua ATCL
- Nyerere kajenga Reli ya Uhuru, Magufuli anajenga SGR.
- Amerudisha nidhamu ya kazi
- Watu waishi kwa vipato vyao halali
- Sasa anairudisha nchi kuwa ya Chama Kimoja CCM
- Akikamilisha atanirudisha Azimio la Arusha nchi kuwa ya Ujamaa na kujitegemea
If you can't get what you want, just take what you get.
Kama umepeleka timu uwanjani ili ushindane upige mabao ili upate ushindi, ulikuta mwenzako hajaleta timu uwanjani, unafanya mini?. Au unakuta kwenye timu shindani iko uwanjani, lakini ile tuu kipenga kimepulizwa mwenzako ametia mpira kwapani na kusepa nao, unategemea nini?.
Ni kupokea tuu point mbili za mezani.
P