Aibu kwa Viongozi: Kurejea kwa Kipindupindu sababu ni Uchafu. Hili la Usafi nalo linamuhitaji Magufuli?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,044
49,727
Mnaojiita viongozi wa Nchi hii kuanzia huko kwenye mitaa waliko mabibi/bwana Afya na watu wa Mazingira Hadi Ngazi ya Mkoa mnafanya kazi gani ikiwa kipindupindu kimerejea baada ya kutokomezwa awamu ya 5?

Ukweli ulio wazi ni kwamba Kwa Sasa uchafu umekithiri mitaani na hakuna anasimamia,matakata yamerejea ,mamifuko ya plastics Maarufu rambi yapo Kila mahala,Kila sehemu ni dampo na Halmashauri zinasua sua kuondoa taka kwenye maeneo Yao.

View: https://www.instagram.com/p/C16rrgPMVPb/?igsh=MWhnMXdsbTVyaXJ3eg==

Ukipita bararani utaoni jinsi mitaro imegeuzwa madampo,makopo yamejaa,manyasi yamezunguka Hadi Ofisi za Serikali na kote huko Kuna wanaojiita Viongozi.

Ni aibu kubwa Kwa jamii kusubiria eti Kiongozi Mkuu wa Nchi aagize watu wafanye Usafi lakini Kwa jamii ambayo haijastaarabika kama Watanzania bila kuendeshwa kama punda hawaendi hivyo viongozi timizeni wajibu wenu, haipendezi mwaka 2024 Bado Kuna kipindupindu kisa uchafu.

Kwa mwaka Jana Kipindupindu kimeua watu Bukoba,Dar na Sasa Kahama.Jamii ijiulize tunasubiria kucharazwa viboko ndio tufanye Usafi? Viongozi timizeni wajibu wenu,ni aibu kubwa hii kumsubiria marehemu afufuke Ili aje kuhimiza Usafi.

View: https://www.instagram.com/p/C1ys_XlN1gt/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Viongozi wa ngazi za Chini acheni kumuaibisha Rais ,mnakera sana.

View: https://twitter.com/NikkiWa111/status/1744306710511067423?t=WYC6K-CSel95uH8X2AwUCw&s=19

View: https://www.instagram.com/p/C15J5QRN3UP/?igsh=MWkxcjk5ejRoZ3F3ZQ==
 
Bila aibu Waziri anatangaza mlipuko wa kipindupindu Dar.

Jiji la hovyo kabisa
Screenshot_20240108-084735.jpg
 
Mnaojiita viongozi wa Nchi hii kuanzia huko kwenye mitaa waliko mabibi/bwana Afya na watu wa Mazingira Hadi Ngazi ya Mkoa mnafanya kazi gani ikiwa kipindupindu kimerejea baada ya kutokomezwa awamu ya 5?

Ukweli ulio wazi ni kwamba Kwa Sasa uchafu umekithiri mitaani na hakuna anasimamia,matakata yamerejea ,mamifuko ya plastics Maarufu rambi yapo Kila mahala,Kila sehemu ni dampo na Halmashauri zinasua sua kuondoa taka kwenye maeneo Yao.

Ukipita bararani utaoni jinsi mitaro imegeuzwa madampo,makopo yamejaa,manyasi yamezunguka Hadi Ofisi za Serikali na kote huko Kuna wanaojiita Viongozi.

Ni aibu kubwa Kwa jamii kusubiria eti Kiongozi Mkuu wa Nchi aagize watu wafanye Usafi lakini Kwa jamii ambayo haijastaarabika kama Watanzania bila kuendeshwa kama punda hawaendi hivyo viongozi timizeni wajibu wenu, haipendezi mwaka 2024 Bado Kuna kipindupindu kisa uchafu.

Kwa mwaka Jana Kipindupindu kimeua watu Bukoba,Dar na Sasa Kahama.Jamii ijiulize tunasubiria kucharazwa viboko ndio tufanye Usafi? Viongozi timizeni wajibu wenu,ni aibu kubwa hii kumsubiria marehemu afufuke Ili aje kuhimiza Usafi.

View: https://www.instagram.com/p/C1ys_XlN1gt/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

Bado hamjasema....mtasema tu
 
Mnaojiita viongozi wa Nchi hii kuanzia huko kwenye mitaa waliko mabibi/bwana Afya na watu wa Mazingira Hadi Ngazi ya Mkoa mnafanya kazi gani ikiwa kipindupindu kimerejea baada ya kutokomezwa awamu ya 5?

Ukweli ulio wazi ni kwamba Kwa Sasa uchafu umekithiri mitaani na hakuna anasimamia,matakata yamerejea ,mamifuko ya plastics Maarufu rambi yapo Kila mahala,Kila sehemu ni dampo na Halmashauri zinasua sua kuondoa taka kwenye maeneo Yao.

Ukipita bararani utaoni jinsi mitaro imegeuzwa madampo,makopo yamejaa,manyasi yamezunguka Hadi Ofisi za Serikali na kote huko Kuna wanaojiita Viongozi.

Ni aibu kubwa Kwa jamii kusubiria eti Kiongozi Mkuu wa Nchi aagize watu wafanye Usafi lakini Kwa jamii ambayo haijastaarabika kama Watanzania bila kuendeshwa kama punda hawaendi hivyo viongozi timizeni wajibu wenu, haipendezi mwaka 2024 Bado Kuna kipindupindu kisa uchafu.

Kwa mwaka Jana Kipindupindu kimeua watu Bukoba,Dar na Sasa Kahama.Jamii ijiulize tunasubiria kucharazwa viboko ndio tufanye Usafi? Viongozi timizeni wajibu wenu,ni aibu kubwa hii kumsubiria marehemu afufuke Ili aje kuhimiza Usafi.

View: https://www.instagram.com/p/C1ys_XlN1gt/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

Hii ni activity ya kupiga pesa ndani ya Wizara ya Afya, Ummy ni tatizo haswa
 

Sijui kama hata kwa hili tunapaswa kuwalaumu viongozi, basi acha tuwalaumu tu maana ndio wasimamizi wa sera na sheria. Tujifiche kwenye hiki kichaka tulichozoea!

Ila kama tunataka kubadilika ni lazima tuambiane ukweli, Watanzania wengi ni wachafu na wazembe wasiojali afya zao na za watu wengine wanaowazunguka.

Watanzania hawa hawa ambao hawaoni umuhimu wa vyoo, wanasubiri kuhamasishwa? Hivi mtu unakula ila huoni umuhimu wa choo?

Watanzania hawa ambao mvua zikinyesha kidogo wanafungulia maji kutoka kwenye machemba yao?

Mtanzania hata kutunza taka na kuziharibu bado ni ngumu. Lazima tutambue suala la usafi linaanza na mtu mmoja mmoja kwenye jamii na katika hili hata viongozi waseme nini, ni ngumu kubadili tabia ya mtu mchafu, labda aamue kubadilika mwenyewe.

Watanzania tubadilike, tuache uchafu!
 
Back
Top Bottom