PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 878
- 955
Mbunge wa Kigamboni ambaye pia ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari @DocFaustine (Mb) akisaini kitabu cha maombolezo kilichopo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Chato, Geita. yuko Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati Rais Dkt @MagufuliJP yatakayofanyika ijumaa tarehe 26 march 2021.