Hivi kwenye misiba ya kitaifa nako huwa kuna daftari la michango?Daftari la mchango! Baada ya kusaini kitabı unatakiwa uingize mkono mfukoni!!
WAAMBIE HAWA TUNATAKIWA TULE UBECHE MSIBANI DONEE KILA MTU ATOE MANA DAR HOLA ZANZIBAR MWANZA HOLA CHATO LAZIMA UBECHE UPIGWEDaftari la mchango! Baada ya kusaini kitabı unatakiwa uingize mkono mfukoni!!
Mbowe ame Yuma salamu za rambirambi
Leo wamekufanyaje jamani hadi unachapia hivyo? Au wamekubadilishia simu!Mkuchika na Simbachawene wako wao?
Duhhhh...mimi nikajua tu ni minyama huko. Kumbe kuna kutoboka tena? Hapo si ni kuanzia 1k na kuendelea?Daftari la mchango! Baada ya kusaini kitabı unatakiwa uingize mkono mfukoni!!
Katika mazishi haya Dar. watu hawakula UBECHE, Dodoma ,Zanzibar na Mwanza kote huko watu wamelia bila kula wala kunywa ; sasa watu wanategemea kule nyumbani Chato baada /kabla ya mazisi vinywaji na UBECHE lazima vitembee kama ndio sadaka yenyewe. Hamna mambo ya DONA!!!!Duhhhh...mimi nikajua tu ni minyama huko. Kumbe kuna kutoboka tena? Hapo si ni kuanzia 1k na kuendelea?
HeheheheMkuchika na Simbachawene wako wao?