kalooo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 270
- 154
Waziri ino mwambie Magufuli amshonee suti nyingine harmonize ile aliyokuja nayo hapo vingunguti ni fupi nahisi karefuka.Nasema hivyo kwa sababu nimemsikia waziri inno akisema magufuli oyee harmonize oyeeee siyo ccm tena ,Haya kiongozi waziri kijana niliyekuona makini ila upambe umekuzidi basi leo umenikera kidoga kwa kushindwa kuwasilisha changamoto mbalimbali kama hzi hapo
ujue tunaexport nafaka Kwend nje kwa gharama ya dollars mil 85 na kuinput nafaka hizo hizo kwa gharama ya dollars mil 461.
Mda huo Nchi ina eneo LA kilimo hekta million 44,Katika hekta hizo eneo la kilimo cha umwagiliaji ni hekta million 29.
Tunauza mahindi yaani nafaka yote na si unga pekee .
Soko LA nafaka siyo stable yaani linayumba.
Benki za kilimo na maendeleo hazitambui hati ya urithi.
Madalali wanamuumiza mkulima
Mwingiliano wa TBS na TFDA
Ushuru kila kona kwa wakulima wanaposafirisha mazao yao.
Kwa kuhitimisha kwamba uchumi huanzia kwenye kilimo yaan.
Kilimo----------chakula----------Biashara-------viwanda---------ajira.
ujue tunaexport nafaka Kwend nje kwa gharama ya dollars mil 85 na kuinput nafaka hizo hizo kwa gharama ya dollars mil 461.
Mda huo Nchi ina eneo LA kilimo hekta million 44,Katika hekta hizo eneo la kilimo cha umwagiliaji ni hekta million 29.
Tunauza mahindi yaani nafaka yote na si unga pekee .
Soko LA nafaka siyo stable yaani linayumba.
Benki za kilimo na maendeleo hazitambui hati ya urithi.
Madalali wanamuumiza mkulima
Mwingiliano wa TBS na TFDA
Ushuru kila kona kwa wakulima wanaposafirisha mazao yao.
Kwa kuhitimisha kwamba uchumi huanzia kwenye kilimo yaan.
Kilimo----------chakula----------Biashara-------viwanda---------ajira.