Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (MB),akizisisitiza Halmashauri kuhakikisha kuwa tozo zinazowekwa kwenya zao la Parachichi haziwakandamizi wakulima.
Bashe ameeleza hayo katika Mkutano Mkuu wa Parachichi uliofanyika hivi karibuni wa wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo wakiwemo wakulima, viongozi wa Halmashauri, na wawakilishi wa vyama vya ushirika, ambapo walipata fursa ya kujadili changamoto na fursa zilizopo katika kilimo cha Parachichi nchini.
Bashe ameeleza hayo katika Mkutano Mkuu wa Parachichi uliofanyika hivi karibuni wa wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo wakiwemo wakulima, viongozi wa Halmashauri, na wawakilishi wa vyama vya ushirika, ambapo walipata fursa ya kujadili changamoto na fursa zilizopo katika kilimo cha Parachichi nchini.