Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,023
- 52,494
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys