Waziri Aweso unajiharibia CV yako nzuri

Waziri Aweso unajiharibia CV yako nzuri

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,023
Reaction score
52,494
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa

Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
 
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa

Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Una matatizo makubwa na wala tatizo siyo huyo waziri. Kama uliwahi ''kumkubali'' mtu kama huyu basi wewe ndiyo tatizo. Slow learner? Nyumbu's mind? Kwa kifupi una tatizo.
 
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa

Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Hana jipya huyu, lbd kuongeza wake..
 
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa

Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Kwani ulilazimishwa kukaa / kupanga hapo ulipo? Si uhame tu?
 
Tatizo hapo sio Aweso, tatizo ni wewe kumkubali mtu kama yeye.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali viongozi kama aweso
 
Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa

Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Kimara kwa sasa kuna blanket punishment. Ila wizara imesahau kwamba maji yaendayo mjini yanapitia Mbezi/Kimara/Ubungo.
 
Back
Top Bottom