robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 742
- 1,224
Tutaendelea kusema hata kama hakuna hatua lakini wizara ya maji ni wezi na viongozi wa wizara ndo vinara wa wizi.
Waziri Aweso na katibu mkuu wake ni wezi wa pesa za wizara kwa kushirikiana na watendaji walioko ktk ofisi za mabonde. Kuna pesa nyingi zinapelekwa ktk ofisi za mabonde na kurudishwa wizarani na kugawana. Huu siyo mtindo mpya na siyo kwa wizara hii tu.
Wizi mkubwa kabisa uliopo sasa hivi ni pesa kwa ajili ya uhifadhi wa bonde la mto Rufiji baada ya mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kujengwa. Kuna mabilioni ya shilingi hupelekwa makao makuu ya bonde mjini Iringa kwa kisingizio cha uhifadhi, lakini ukweli ni kwamba pesa hizo huchotwa kwa pamoja na kurudishwa kwa watendaji wa wizara, kuanzia wizarani hadi ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali.
Upo uthibitisho wa vitendo hivi kupitia akaunti ya bonde ambayo huzitoa pesa zote kila zinapoingia, jambo ambalo kiutendaji ni ishara ya ufisadi kwa sababu huwezi kufanya shughuli za uhifadhi wa bilioni 2 kwa muda wa wiki moja. Uhifadhi ni shughuli za kila siku kwa muda mrefu.
Katika shughuli hizi waziri na watendaji husingizia kuitumia jamii iliyoko ktk bonde la mto rufiji, lakini uhalisia wa mambo siyo hivyo. Wananchi hawa hawafaidiki na lolote linalohusu shughuli hizo na hata hawahusishwi kabisa.
Barua ifuatayo ni malalamiko yaliyotumwa kwa katibu mkuu wa wizara ya maji kueleza juu ya ufisadi unaofanyika, lakini hakuna jawabu lolote liliotolewa. Kwa ujumla wananchi hawa hawatajibiwa kwa sababu waiziri na Katibu mkuu wa wizara wanahusika na wizi wa pesa za wizara hii.
Waziri Aweso na katibu mkuu wake ni wezi wa pesa za wizara kwa kushirikiana na watendaji walioko ktk ofisi za mabonde. Kuna pesa nyingi zinapelekwa ktk ofisi za mabonde na kurudishwa wizarani na kugawana. Huu siyo mtindo mpya na siyo kwa wizara hii tu.
Wizi mkubwa kabisa uliopo sasa hivi ni pesa kwa ajili ya uhifadhi wa bonde la mto Rufiji baada ya mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kujengwa. Kuna mabilioni ya shilingi hupelekwa makao makuu ya bonde mjini Iringa kwa kisingizio cha uhifadhi, lakini ukweli ni kwamba pesa hizo huchotwa kwa pamoja na kurudishwa kwa watendaji wa wizara, kuanzia wizarani hadi ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali.
Upo uthibitisho wa vitendo hivi kupitia akaunti ya bonde ambayo huzitoa pesa zote kila zinapoingia, jambo ambalo kiutendaji ni ishara ya ufisadi kwa sababu huwezi kufanya shughuli za uhifadhi wa bilioni 2 kwa muda wa wiki moja. Uhifadhi ni shughuli za kila siku kwa muda mrefu.
Katika shughuli hizi waziri na watendaji husingizia kuitumia jamii iliyoko ktk bonde la mto rufiji, lakini uhalisia wa mambo siyo hivyo. Wananchi hawa hawafaidiki na lolote linalohusu shughuli hizo na hata hawahusishwi kabisa.
Barua ifuatayo ni malalamiko yaliyotumwa kwa katibu mkuu wa wizara ya maji kueleza juu ya ufisadi unaofanyika, lakini hakuna jawabu lolote liliotolewa. Kwa ujumla wananchi hawa hawatajibiwa kwa sababu waiziri na Katibu mkuu wa wizara wanahusika na wizi wa pesa za wizara hii.