Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.[/QUOTE
siyo rahisi hivyo,utabembelezwa,utatishiwa usalama wa familia yako na maisha yako
kuna dogo st.Augustine kajengewa,gari na ngoma juu.take care