wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro
Taja jina lake kama unachotaka kutwambia ni kweli. Kama umeweza kutoboa kuwa anakutaka unashindwa nini kumtaja jina. Usipofanya hivyo utachukuliwa kama mtaka sifa na limbukeni na mzushi wa kawaida.
Taja jina lake kama unachotaka kutwambia ni kweli. Kama umeweza kutoboa kuwa anakutaka unashindwa nini kumtaja jina. Usipofanya hivyo utachukuliwa kama mtaka sifa na limbukeni na mzushi wa kawaida.
acha utoto wewe, sasa unashitaki, naamini u r over 18 yrs old, ushauri mvulie akugonge maana ata gari keshaakupa na umechukua au unatafuta ujiko. Ache ushamba wa kingono
acha utoto wewe, sasa unashitaki, naamini u r over 18 yrs old, ushauri mvulie akugonge maana ata gari keshaakupa na umechukua au unatafuta ujiko. Ache ushamba wa kingono