Waziri afagilia NSSF, ataka waongeze nguvu kuongeza wanachama

MPadmire

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,928
3,225
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.

Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html


Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA

Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki

Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?

Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically

Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?

NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.
Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html
Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA
Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki
Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?
Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically
Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?
NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo
Yeye anaifagilia bila kujali NSSF kushindwa kuwalipa kwa wakati wastaafu na kufanya marekebisho ya malipo ambayo yamepitwa na wakati.
Kwa muonekano tunaouona wastaafu ni kwamba NSSF iko hoi kifedha.
 
Hiv mkuu ni kweli fao la kujitoa(mkupuo)halipo?
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.

Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html


Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA

Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki

Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?

Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically

Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?

NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.

Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html


Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA

Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki

Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?

Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically

Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?

NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo

Yaaani binafsi katika mawaziri wasiojitambua ni huyu mama haki ya mungu angekuwa mrembo kivile labda ningejua wakubwa wamekubali mzigo lakini huyu mama mkatili sana kwa wafanyakazi hata kikokotoo aling'ang'ania sijui yeye anapata nini maskini ni mkuda na anaroho mbaya hatare.

NSSF ubungo mpaka watu wazima wanazimia kudai mafao yao na watendaji wala hawana habari wanasema wanashughulikia watu wa mwaka jana. Yaani mara mia nane watu watunze pesa zao wenyewe kuliko kwenga kudhalilika muda ukifika wa kudai mafao.
 
Mh. Ester Bulaya aliamsha Dude mpaka Ndugai amamkubali, but Nothing done ever

Tunaomba Kwenye budget yake Wabunge waulize kuhusu Manyanyaso Sekta binafsi

NSSF ni wanyonyaji....Mapepo kabisa
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.

Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html


Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA

Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki

Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?

Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically

Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?

NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo
This kind of news is not worthy of JF. If we can even call int news! They always fagilia something don't they?
We want more compelling news and/opinions. Not bullshit like this.
Waziri aifagilia nssf, so what??
 
Mbona kuna watu kibao wamelipwa pesa zao zote, fao la kujitoa. Wamekaa miezi minne tu. Lakini wao mkataba uliisha. Onyo tu usiache kazi mwenyewe. Pia kazi yako isiwe professional job ( Fundi, Mwalimu, nurse,) wanalipa zile un professional job (ulinzi, ubabaji mizigo, kazi za ndani)
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameipongeza Bodi ya wadhamini na menejimenti ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jami (NSSF) huku akiitaka kuongeza nguvu katika kuandikisha wanachama kwa sababu sekta binafsi ina wanachama wengi wanaotakiwa wajiunge katika shirika hilo.

Source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...u-kuongeza-/1597296-5142318-303rpi/index.html


Wananchama wa Sekta binafsi - Hawana FAO LA KUJITOA

Hilo Fao la Kukosa Ajira ni Sheria za kikoloni - ukiresign au ukiacha kazi mwenyewe hupati haki

Nani asiejua manyanyaso ya Sekta binafsi? Viwanda vya Wahindi na makapuni yao?

Nani asiyejua magonjwa kutokana na machemically

Je - Lile TAMKO la Raisi kufuta Sheria mpya za mafao mpaka 2023? linahusu?

NSSF wamezidi kushikilia Hakuna Malipo ya mkupuo
Yaan mm naona hawa watu sera zao hazieleweki, Kuna upindishaji Fulani hivi kwan hata LAPF n.k tangu kikokotoo kitolewe maamz na mifuko kuungana watu hatupewi huduma!!! Imekuwa kisingizio mpaka inakera wakati Kila mwez pesa wanakata!! Mm namuomba km Kuna mtu humu anafanya Kaz au anaweza kunipa muongozo namna ya kufatilia haki yangu LAPF Basi anisaidie wakuu. Shukran.
 
Yaani wastaafu wa nchi tuna bahati mbaya sana na hii mifuko ya hifadhi. Sababu kuu no kuwa serikali haioni athari tunazoweza kuzileta wakati wa upigaji wa kura kutokana na kukosa umoja. Watu tinakaa miaka bila mafao huku wakijinasibu kutoa takwimu jinsi wslivyolipa. Bado tunashikilia kikokotoo cha 25% na hakuna dalili ya kulipwa mapunjo. Ofisi za psssf zilizoko mikoani hawana msjibu na ukipiga simu makao makuu kupitia simu za bure Huduma kwa Wateja hazipokelewi
 
Mbona wafanyakazi wa shirika mishahara bado mpaka sahivi wakati anataka wafanyakazi kuweka nguvu kwenye performance charity begins at home...hii mambo ya kuwekewa stahiki tarehe 27/28 sio kabisa,hali ni ngumu
 
Mbona wafanyakazi wa shirika mishahara bado mpaka sahivi wakati anataka wafanyakazi kuweka nguvu kwenye performance charity begins at home...hii mambo ya kuwekewa stahiki tarehe 27/28 sio kabisa,hali ni ngumu
 
Back
Top Bottom