Mwenye mawazo hayo lazima atakuwa katika makundi yafutayo;
sangma, ila si mchawi,
balozi wa shina,
una busha,
hujui kusoma wala kuandika,
mzee wa dar es salaam,
umri wako si chini ya miaka 40, na unaishi chini ya dola moja kwa siku. Hizi ndo sifa za mwana chama wa kawida wa ccm.
hakunaga kama pipoz pawa dah! Kizaz hk hakidanganyki kamwe! Magamba wanakazi ya ziada itabaki historia kama kwa KANU KWA KENYA.Ccm kwisha habari yenu na ni lazima wajibebe.Ona tu wanavyoiba na kutumia kodi zetu kwa manufaa ya chama chao.Watajuuuta kuifahamu cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.