theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
We jamaa nadhani umeya enjoy maisha mpaka bhasi.....Dah. Kitaa cha Mori hapo Checkpoint Bar karibu na shule (is that Mapambano Primary?) tulikuwa tunafunga sound system, jioni tukitoka kazini tunapiga muziki mkubwa huku tunashushia na bia na nyama choma.
Maasi madogomadogo yalikuwepo lakini si hivyo.
Ukitoka hapo unatembea hatua chache tu mpaka maskani, kesho asubuhi unajichanganya Posta kazini.
Maisha ya Kinyamwezi tangu bongo.
Kitaa cha marehemu Mpakanjia hicho enzi hizo. Ukiibuka mara kwa Remmy, mara unafukuzana na watoto wa chuo mitaa ya Mwenge, mara umejichanganya na masela wa Industrial area.
From Bongo New York to New York!
Kwenye starehe sidhani kama kuna ambacho hujafanya.....
Bado nalivutia lile kabati lako la perfume hatari sana...