Kuna hili lingine naomba faida kidogo ...kwa maboti yanayotumika ziwa Tanganyika ni kwamba boti inakuwa kubwa sana na inabeba uzito mkubwa na inatumia outboard machine Ila Ila yenye horsepower kubwa na ikiwezekana wanafunga mbili na zinatumika kwa pamoja ila kwa ukubwa huo huo Ila yanayotumika bahari ya Hindi yanakuwa yanatumia engine za ndani.Nini haswa inakuwa sababuKupata saizi ya injini tunatumia vigezo hivi,
1. Urefu
Kama ni boti ya matumizi ya Kawaida boti Yenye urefu usiozidi mita 4.5 Mpaka 5 injini inaweza ikatumika outboard injini ya kuanzia 9HP Mpaka 20HP
2.Uwiano wa nguvu na uzito(Power to weight ratio)
Kwenye boti ndogo uwiano wa nguvu na uzito unatakiwa uwe Kati ya 1HP Kwa uzito wa kilo 11 Mpaka 18. Hapa uwiano unaweza ukatumika kulingana na kazi itayoenda kufanya
3.Matumizi ya Chombo
Watu wa kubeba mizigo wanahitaji nguvu na luxury boat waou wanahitaji performance kubwa
Kama ni luxury boat kuipa injini Yenye HP kubwa ni Kwa ajili ya speed kwaiyo hiyo 1NZ itafaa. Ila kama ni boat ya mizigo au Jahazi itabidi 1HZ itumike Ili tupate nguvu zaidi.
Wanatumia outboard engine sababu ya unafuu wa gharama ya kununua,matengenezo na uwepesi wa kuifunga kwenye boti.Kuna hili lingine naomba faida kidogo ...kwa maboti yanayotumika ziwa Tanganyika ni kwamba boti inakuwa kubwa sana na inabeba uzito mkubwa na inatumia outboard machine Ila Ila yenye horsepower kubwa na ikiwezekana wanafunga mbili na zinatumika kwa pamoja ila kwa ukubwa huo huo Ila yanayotumika bahari ya Hindi yanakuwa yanatumia engine za ndani.Nini haswa inakuwa sababu
Hapo naenda na 1.6L na Umeme mwingi kupata 270hp
Pia niliwahi kusikia nadharia kuwa wanafunga outboard engine hawa watu WA ziwani eti kwa kuwa maji Yao ni mepesi tofauti na maji ya bahari kwa kuwa mazito ......ina ukweli wowote WA hiki tunachoaminishana watu WA ziwani?Wanatumia outboard engine sababu ya unafuu wa gharama ya kununua,matengenezo na uwepesi wa kuifunga kwenye boti.
Inboard engine inabidi wafunge diesel engine gharama ya kununua ipo juu, itatakiwa awe na marine gearbox na propulsion (propeller na seal zitakazo funga mwisho kuzuia maji yasiingie katika boat). Bado Hii inboard engine inahitaji utaalamu kwenye kuifunga Ili kupunguza vibration kubwa na Kuna gharama za kununua mounting za engine na gearbox.
Pia maintainance ya diesel engine ipo juu, ndio maana wanaona Bora wanunue outboard engine ambayo akiwa na Kazi anaifunga Nyuma pale na kujifungua pia services ni nafuu sana.
Kwa upande wa Huku Baharini baadhi ya majahazi wamefunga inboard engine za Volvo S80, Caterpillar na Injini za Kubota Kuna waliopata zikiwa full na gearbox na wengine wamefanya modification huku access ya hizi injini ni kubwa sababu majahazi mengi Yanausajili au umiliki wa Kutoka visiwani Kule used za Arabuni kibao tofauti na mkoani.
Pia wapo ambao wanatumia nguvu ya upepo(matanga) kwenye Jahazi Hawa Kuna ambao wanakuwa na backup ya outboard engine Kwa ajili ya manouvre wakiwa wanaingia bandari au kupaki. Au upepo ukiwa hafifu wanatumia outboard engine waliyonayo ila wengine hawana hata outboard engine wao ni upepo tu.
Maji ya ziwani au mto (fresh water) ni mepesi kuliko ya Bahari, lakini sio kigezo Cha wao kutumia outboard engine hata huku baharini Kuna watu wanatumia outboard engine kwenye boti kubwa.Pia niliwahi kusikia nadharia kuwa wanafunga outboard engine hawa watu WA ziwani eti kwa kuwa maji Yao ni mepesi tofauti na maji ya bahari kwa kuwa mazito ......ina ukweli wowote WA hiki tunachoaminishana watu WA ziwani?
Mmeanza mambo yenu [emoji3][emoji3]
Iringa ipo piaLeo nimekutana na LC300 GR mitaa ya Njiro.
Mi nashusha yeye anapandisha.
DYR.
Ipoje hio mashine?Leo nimekutana na LC300 GR mitaa ya Njiro.
Mi nashusha yeye anapandisha.
DYR.
😄😄😄 mambo ya mzungu unakuta 1.2TSI tu kinachakaza madubwashaMasihara haya
Mzungu atakuwa kafunga turbo chargers😄😄😄 mambo ya mzungu unakuta 1.2TSI tu kinachakaza madubwasha
ndio kazi ya nzungu.. anakuwea mi turbocharger kama yote unaweza hisi kigari cha kichovu fata uone moto wakeMzungu atakuwa kafunga turbo chargers
Safi sana watu wapo seriousLeo nimekutana na LC300 GR mitaa ya Njiro.
Mi nashusha yeye anapandisha.
DYR.
Eeh hio GR version ni sport version
Hahahaha mini clubman naona nayo imekaa kinywamwezi sanandio kazi ya nzungu.. anakuwea mi turbocharger kama yote unaweza hisi kigari cha kichovu fata uone moto wake