donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Salam wakuu,
Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua wanakonga sana moyo wangu. Na pia riddim mix kama ya country bus na nyinginezo pia hua nazielewa sana. Kwa wale wadau wa tasnia hii hebu tupia ngoma unazozikubali za riddim tuweze kushare pamoja.
Salute,
Lucchese Don.
Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua wanakonga sana moyo wangu. Na pia riddim mix kama ya country bus na nyinginezo pia hua nazielewa sana. Kwa wale wadau wa tasnia hii hebu tupia ngoma unazozikubali za riddim tuweze kushare pamoja.
Salute,
Lucchese Don.