Njia tafadhali.Nimepata x ni seven na y ni eight ila Mimi Si mwana mahesabu
Hizi vitu za kuambiana "Find X & Y" akati ziko hapohapo kwenye swali ni kuchanganyana tu. Kama huzioni hizo herufi hapo kwa swali tafuta hata miwani.HII KITU ILIKUWA NI KUPOTEZEANA MUDA AU? #hesabuwito
ThibitishaNimepata x ni seven na y ni eight ila Mimi Si mwana mahesabu
ExactlyHiyo ni kama simitanius equation X²+5=54 and
X+15y=127 njia 54-5=49
X=√49=7 kwa hiyo X ni 7 jibu unatafuta y"
(X=7)+15y=127
7+15y=127
127-7=15y
120=15y
y=120÷15
y=8 jibu
amesema Tafuta thamani ya x,sio tafuta x(find value of x,sio find x)Hizi vitu za kuambiana "Find X & Y" akati ziko hapohapo kwenye swali ni kuchanganyana tu. Kama huzioni hizo herufi hapo kwa swali tafuta hata miwani.
Asiyekubali ajinyonge.
Asiyekubali ajinyonge.
Kwa nini unachukua abs x wakati x sio length rather it is just a hidden number?Asiyekubali ajinyonge.
ExcellentHiyo ni kama simitanius equation X²+5=54 and
X+15y=127 njia 54-5=49
X=√49=7 kwa hiyo X ni 7 jibu unatafuta y"
(X=7)+15y=127
7+15y=127
127-7=15y
120=15y
y=120÷15
y=8 jibu
Samahani hapo ni kosa, jibu sahihi ni;Kwa nini unachukua abs x wakati x sio length rather it is just a hidden number?
Suala sio kukubali au kukataa, ila ni nguvu ya hoja. Kwa nini x isiwe pia -7 ambapo itatupa y=8.933...? Nipeni jibu wataalam
Gushiii x=-7 & y=8.933 ???Sina ubishi sana na majibu ya Iwiva lakini mimi naona kama x na y vina thamani ya 7 na 8; na -7 na 8.9333...
X+15y=127 njia 54-5=49
X=√49=+or -7.
for X=7 unapata y=8
for x=-7, unapata y= 8.933333..
Nawaza tu jamani