Wazee wa Betting mmeona mwenzenu Hanscana ameliwa Milioni 7.5?

Wazee wa Betting mmeona mwenzenu Hanscana ameliwa Milioni 7.5?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,591
Hanscana ame-share mkeka wake alioliwa jana baada ya timu moja kuchana. Uzuri mkeka huu aliupost kabla ya mechi.

Una maoni gani?

IMG_8915.jpeg
 
Hao wenzenu matapeli wanakula na kampuni za betting hapo anapiga PR ili wapumbavu kama nyinyi muendelee kumtajirisha muhindi
Sikupingi unaweza ukawa sahihi au usiwe, nimewahi kubeti na bado naendelea japo najua black and white kuchana kupo ila waogope higher-stakers mzee return yake moja ni mishahara yako ya 3 years hapo ngusero primary school
 
Hii Dunia bana, There’s no free lunch.

Kikwete aliwahi kusema, ukitaka kula, lazima na wewe ukubali kuliwa.

Walioanzisha "betting" hawakuwa wajinga kwamba wakupe faida wewe tu.

Kwenye dunia kila kitu, maslahi na faida zaidi inakwenda kwa mmiliki zaidi.
 
Sikupingi unaweza ukawa sahihi au usiwe, nimewahi kubeti na bado naendelea japo najua black and white kuchana kupo ila waogope higher-stakers mzee return yake moja ni mishahara yako ya 3 years hapo ngusero primary school
Ndo maana wa china wanakamatwa na billions 6 kwa akil kama hzi
 
Hao wenzenu matapeli wanakula na kampuni za betting hapo anapiga PR ili wapumbavu kama nyinyi muendelee kumtajirisha muhindi
Yeah.

Ni kama wale matapeli wa kwenye stendi za mabasi hasa pale Magufuli Mbezi Luis.

Unakuta kimekaa kikundi cha watu, kinazungusha vikadi, vya bahati nasibu, kumbe wote ni group moja. Mtu akijichanganya akaenda hapo, analiwa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom