Wazee wa Kigoma waliopangwa kuchafua uchaguzi wa CHADEMA kwa bahati mbaya wameshindwa kufika ndani ya muda wa kurudisha fomu kutokana na umbali wa safari ya kutoka Kigoma.
Wazee hao ambao waliandaliwa kutoa tamko la kupinga wazee waliotoka Kigoma na kumchulkulia fomu mheshimiwa Mbowe imefahamika kuwa wameshindwa kufika ndani ya muda na kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti na hivyo mkakati wao hadi sasa ni kutafuta mgombea nje na Mbowe ili waweze kumuunga mkono na kumpinga Mbowe kwa maslahi ya chama fulani.
Mbowe ambae anatetea nafasi yake ya uenyekiti alichuliwa fomu na wazee wa Kigoma na kuungwa mkono na makundi mbalimbali ndani ya chama, hadi kufikia saa kumi muda wa mwisho wa kurudisha fomu wanachama maarufu walionekana makao makuu ya CHADEMA wakirejesha fomu mbalimbali na kuomba nafasi tofauti.
Prof. Safari alikuwa amejaza fomu ya kuomba nafasi ya makamu mwenyekiti, prof. Baregu ameomba ujumbe wa kamati kuu lakini pia Mabere Marando ameomba ujumbe wa kamati kuu.
CHADEMA ni mti wenye matunda Mbowe ni mti wa kupigwa mawe daima kwani una mereremeta marunda.
Wazee hao ambao waliandaliwa kutoa tamko la kupinga wazee waliotoka Kigoma na kumchulkulia fomu mheshimiwa Mbowe imefahamika kuwa wameshindwa kufika ndani ya muda na kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti na hivyo mkakati wao hadi sasa ni kutafuta mgombea nje na Mbowe ili waweze kumuunga mkono na kumpinga Mbowe kwa maslahi ya chama fulani.
Mbowe ambae anatetea nafasi yake ya uenyekiti alichuliwa fomu na wazee wa Kigoma na kuungwa mkono na makundi mbalimbali ndani ya chama, hadi kufikia saa kumi muda wa mwisho wa kurudisha fomu wanachama maarufu walionekana makao makuu ya CHADEMA wakirejesha fomu mbalimbali na kuomba nafasi tofauti.
Prof. Safari alikuwa amejaza fomu ya kuomba nafasi ya makamu mwenyekiti, prof. Baregu ameomba ujumbe wa kamati kuu lakini pia Mabere Marando ameomba ujumbe wa kamati kuu.
CHADEMA ni mti wenye matunda Mbowe ni mti wa kupigwa mawe daima kwani una mereremeta marunda.