samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
Hii ni special kwetu wazee wa barabarani share chochote kuhusu barabara kuu e.g. Kipande kipi cha HIGHWAY kizuri, kibovu, chenye watekaji wengi, wazee wa torch wengi ,sehemu yenye sharp corners nyingi,barabara yenye vurugu nyingi(umakini wa hali ya juu unahitajika hapa) etc
Experience yangu katika kua highway
1. Kipande kilichonyooka unamaliza hata darsh board (Lamadi-bunda-sirari, bukoba _kyanga, hedaru-same)
2.Barabara inayohitaji concentration kubwa(Tanzam HIGHWAY) hii ina gari nyingi sana na wazee wa malori usiku wasumbufu sana mwendo wa full light tu
3.Barabara yenye wazee wa kazi(watekaji), Tanzam highway( maeneo ya doma) , biharamulo-kigoma, wami darajani
4.Kipande chenye wazee wengi,Iringa-mbeya, dar-tanga- moshi
5.barabara zenye sharp corners (namtumbo-tunduru,dodoma-iringa road, njombe-madaba, kitonga)
Tiririka na wewe experience yako HIGHWAY
Experience yangu katika kua highway
1. Kipande kilichonyooka unamaliza hata darsh board (Lamadi-bunda-sirari, bukoba _kyanga, hedaru-same)
2.Barabara inayohitaji concentration kubwa(Tanzam HIGHWAY) hii ina gari nyingi sana na wazee wa malori usiku wasumbufu sana mwendo wa full light tu
3.Barabara yenye wazee wa kazi(watekaji), Tanzam highway( maeneo ya doma) , biharamulo-kigoma, wami darajani
4.Kipande chenye wazee wengi,Iringa-mbeya, dar-tanga- moshi
5.barabara zenye sharp corners (namtumbo-tunduru,dodoma-iringa road, njombe-madaba, kitonga)
Tiririka na wewe experience yako HIGHWAY