Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Hivi, wazee wa dar wakiumwa watakimbilia wapi? Au ndo kukosa maarifa? Maana ni ukweli usiopingika katika watu ambao wangetakiwa wawe mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya madaktari basi ni wao maana katika umri wao huo daktari ni mtu wa karibu kwao! lakini kinyume chake ndo kimekuwa kweli, natumaini watakapotia timu Muhimbili, Temeke, Mwananymala na Ilala basi JK na Idd Simba watakuwa nao kuwatetea! Mizee ovyo sana hii...!