VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Wamelalamika kuwa wao hawakuuliza. Wanasema kama kuzungumza nao,kama inavyokuwa kwa Waandishi wa Habari,walikuwa na shauku ya kurusha maswali yao kwa Rais baada ya hotuba yake.
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
Kutokana na uzito wa maswali hayo,kulingana na umri na uwezo wangu,nimewaomba niwajibu kwa barua au simu baada ya utafiti ulio fiti.
Rais anaweza kufikishiwa maswali haya. Ni ya msingi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
Kutokana na uzito wa maswali hayo,kulingana na umri na uwezo wangu,nimewaomba niwajibu kwa barua au simu baada ya utafiti ulio fiti.
Rais anaweza kufikishiwa maswali haya. Ni ya msingi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam