Wazee wa CCM walia Arumeru

Wazee wa CCM walia Arumeru

JOHN MADIBA

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2011
Posts
251
Reaction score
155
attachment.php


wazee waichoka ccm arumeru wanabebwa na mafuso wakati viongozi wao wako kwenye ma vx na land cruiser
 

Attachments

  • MZEE.jpg
    MZEE.jpg
    72.5 KB · Views: 3,659
hivi vx inaweza kubeba watu wangapi ukiilinganisha na fuso? utahitaji vx ngapi kubeba watu ambao wanaweza kubebwa na fuso moja??
 
hivi vx inaweza kubeba watu wangapi ukiilinganisha na fuso? utahitaji vx ngapi kubeba watu ambao wanaweza kubebwa na fuso moja??

Kwani hakuna mabasi? Mbona Mkutano Mkuu pale Dodoma tunaona mabasi yamejazana tena yenye AC na mapazia!! Nakumbuka kulikuwa na Shabiby, Scandnavia etc yanabeba watu kutoka Dodoma mjini kwende ukumbini na wakati wa kurudi pia kulikua na minibus kibao acha mbali magari binafsi ya viongozi na wanachama wenye uwezo
 
Ukiona chama mtaji wake umebaki ni wa vikongwe na siyo vijana, ujue kinachungulia kaburi.
 
Fuso wamekuwa MAHINDI? wawa tafutiye mabasi angalau! Wajinga ndio waliwao kweli...
 
Maskini jamani wamechoka!. Mmoja mpaka dimples zinataka kufifia LOL!
 
hivi vx inaweza kubeba watu wangapi ukiilinganisha na fuso? utahitaji vx ngapi kubeba watu ambao wanaweza kubebwa na fuso moja??
"Fuata Nzi....."
Hili la kubeba watu kwenye mafuso kuna siku litawatokea puani.Ngoja fuso litakapokuja kupiga mzinga,ndio mtakapotuambia kama ni gari la abiria au mizigo.Kwa hili CCM mnaonyesha mfano mbaya kabisa wa uvunjaji sheria.
 
swali kuu: kwa nini wabebwe? nilifikiri wanakipenda chama hata wawe tayari kuja mkutanoni kwa gharama zao. Pia maantiki iko wapi kubeba wanachama toka jimbo/wilaya jirani? nilifikiri bonanza (ze orijino komedi, TOT, bongo fleva nk) zinazotangulia mkutano wenyewe zingetosha kuvuta watu.
 
waende huko chadema watakuwa wanabebwa na ma-vx kama akina zito, slaa mbowe et al.
 
Back
Top Bottom