Abou Shaymaa JF-Expert Member Joined Oct 19, 2022 Posts 2,142 Reaction score 5,289 Sep 11, 2024 #21 Grahams said: Hiyo hela yake ina Thamani ya Dollar za Marekani 5.46, ambapo Kwa tarehe ya leo, dollar 1 ya Marekani ni sawa na shilingi za Kibongo 2,720. Ambapo ukizibadirisha unapata shilingi za Kibongo 13,600 Click to expand... Ahaa sawa
Grahams said: Hiyo hela yake ina Thamani ya Dollar za Marekani 5.46, ambapo Kwa tarehe ya leo, dollar 1 ya Marekani ni sawa na shilingi za Kibongo 2,720. Ambapo ukizibadirisha unapata shilingi za Kibongo 13,600 Click to expand... Ahaa sawa
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 20,096 Reaction score 61,512 Sep 11, 2024 #22 Abou Shaymaa said: Ahaa sawa Click to expand... Karibu ππ
Mstahiki Mea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 6,133 Reaction score 11,391 Sep 11, 2024 #23 Kidagaa kimemwozea said: Umeinyaka kwenye mtumba wa Italy nin mkuu Click to expand... Mbona watu mnacheka nimemuuliza mwamba , hiyo noti Kama kainyaka kwenye mtumba π Sasa Cha kuchekesha ninin hapo
Kidagaa kimemwozea said: Umeinyaka kwenye mtumba wa Italy nin mkuu Click to expand... Mbona watu mnacheka nimemuuliza mwamba , hiyo noti Kama kainyaka kwenye mtumba π Sasa Cha kuchekesha ninin hapo