Wazee Kumi na Saba (17) Waliodai Uhuru wa Tanganyika

Ni vizuri ukajuwa kuwa sina namba ya Tz. Natumia namba yangu ya Oman kwa kitu kinachoitwa Roaming. Hivyo inakuwa si rahisi kwa mtu wa Tz kuweza kunipigia kwani inakuwa kama unapiga simu za kimataifa japo mimi nikikupigia kutoka hapa ninakuwa napiga sawa na local.

Hiyo ni namba ya Kijana wangu ambaye kila pahala nipo naye ambaye kwa urahis:A S 465:i unaweza kunipata kwa local number.

Elimu yangu ni PhD. (Bcom- UDSM Tz), MBA (Carleton univ- Canada) na PhD (Sofia Univ -Japan).

Jina langu ni Dr Hamza Yousuf Al- Naamani. Je una la ziada?


Ndio ninalo la ziada, hivi line ya simu hapo bongo ni sh ngapi na inachukua muda gani mtu kupata?
 
Kumbe kina Kawawa, Bibi Titi nk hawamo kwani wao walikuwa wanafanya nini???

Mweeehh jamani Historia hizi zina mambo

Walidandia treni kwa mbele wakati lilishashika kasi! Hata hivyo mchango wao kwa taifa letu tunautambua na kuuthamini.
 
Kumbe kina Kawawa, Bibi Titi nk hawamo kwani wao walikuwa wanafanya nini???

Mweeehh jamani Historia hizi zina mambo

hao ni wasisi wa TANU. Ila aliotaja ni wale waanzilishi wa TAA ambao wengi wao walikuwa ni askari wa KAR. na ni wanaume watupu.

Bibi Titi na akina kawawa walitoka nje ya TAA. Kawawa alikuwa mcheza sinema ya Muhogo mchungu na katibu wa chama cha wafanyakazi.

lakin leo nilistahajabu kidogo pale mwisho kilikuja kikundi cha muziki cha waimbaji wa nyimbo za Injili na kiliimba nyimbo maalum ya Uhuru. Je kwanini kikundi cha waimbaji wa Nyimbo za injili wakiongozwa na Mbunge na mzee makasi? Je akina Sugu, Juma nature na Mwanafalsafa hawakuweza kuimba au kujichanganya nao? au waliamua kuwatenga.

Nawasifu lakini wimbo ulikuwa mzuri na alitajwa Mungu tu bila wengine kutajwa.

 
hao ni wasisi wa TANU. Ila aliotaja ni wale waanzilishi wa TAA ambao wengi wao walikuwa ni askari wa KAR. na ni wanaume watupu.

Bibi Titi na akina kawawa walitoka nje ya TAA. Kawawa alikuwa mcheza sinema ya Muhogo mchungu na katibu wa chama cha wafanyakazi.

lakin leo nilistahajabu kidogo pale mwisho kilikuja kikundi cha muziki cha waimbaji wa nyimbo za Injili na kiliimba nyimbo maalum ya Uhuru. Je kwanini kikundi cha waimbaji wa Nyimbo za injili wakiongozwa na Mbunge na mzee makasi? Je akina Sugu, Juma nature na Mwanafalsafa hawakuweza kuimba au kujichanganya nao? au waliamua kuwatenga.

Nawasifu lakini wimbo ulikuwa mzuri na alitajwa Mungu tu bila wengine kutajwa.


I wish ningekuwepo uwanjani nikaona hao waimba nyimbo za injili
Sawa nimekusoma
 
Ndio ninalo la ziada, hivi line ya simu hapo bongo ni sh ngapi na inachukua muda gani mtu kupata?

Kweli una masuala ya kitoto sana. lakin ngoja nitakujibu. Mimi siwezi kununua line ya simu ya Tz kwa sababu si mkaazi wa Tz nimekuja siku saba tu naondoka na ndio maana natumia Roaming kuwasiliana na ndugu,jamaa na wafanyakazi wenzangu wote.

Lakin kumbuka kununua line ni suala moja. Registration ni suala la pili na kununua simu ya kubebea line hiyo ni suala la tatu. Hivyo sina sababu yoyote ndio maana natumia Roaming. kama unashida nami nipigie sio kuni flash flash.

nawashukuru wale walionipigia.

Tupo pamoja mpaka Al Khamis ndio naondoka.
 
Abdul Wahid Sykes, unaongelea muasisi wa TAA na TANU na mtu aletoa jina la TANU, hao uliowataja waliasisi nini?
Sasa kumbe wametajwa kwa lipi? Ujuha utakuja kuua mwanamke!Tatizo linalokusumbua hapo sio mchango wa kina Sykes katika kupigania uhuru ila ni uislam wao ndio unaoushabikia kibwengo wewe.
 
Katika hotuba inayoendelea sasa hivi Uwanja wa Uhuru, katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru, Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewataja watu 14 Muhimu ambao amesema "bila ya wao leo hii tusingekuwa tunasherehekea Uhuru, labda sisi ndio tungekuwa tunadai Uhuru". Kwa mara ya kwanza nasikia Abdul Wahid Sykes akikumbukwa rasmi kwenye sherehe za Uhuru kwa mchango wake.

Ahsante Kikwete.

jk amewataja wazee 17, kati yao 14 ni marehemu na 3 wako hai. Hapo kwenye red unataka kutuaminisha kuwa hao wengine 16 wamekuwa wakitajwa isipokuwa sykes pekee? mbona kwa watu wengine hata hayo majina mengine walikuwa hawayajui isipokuwa Nyerere!? kama walikuwa wanatajwa, je ni kwenye sherehe gani za uhuru ambapo hao wengine wooote walitajwa isipokuwa huyo sykes?
 
Kweli una masuala ya kitoto sana. lakin ngoja nitakujibu. Mimi siwezi kununua line ya simu ya Tz kwa sababu si mkaazi wa Tz nimekuja siku saba tu naondoka na ndio maana natumia Roaming kuwasiliana na ndugu,jamaa na wafanyakazi wenzangu wote.

Lakin kumbuka kununua line ni suala moja. Registration ni suala la pili na kununua simu ya kubebea line hiyo ni suala la tatu. Hivyo sina sababu yoyote ndio maana natumia Roaming. kama unashida nami nipigie sio kuni flash flash.

nawashukuru wale walionipigia.

Tupo pamoja mpaka Al Khamis ndio naondoka.
Kwa siku saba utakazo kaa Tanzania utaendelea kutumia namba ya dereva wako? na mbona unazungumzia roaming lakini hutoi hiyo namba unayo roam nayo. Na mimi na ku flush wewe au dereva wako mbona unajichanganya au niki flush inaandika kuwa namanisha kukuflush wewe na si dereva wako? nina swali la mwisho hivi huu uwezo wako wa kujieleza kwa kujichanganya una uhusiano na kiwango cha elimu cha India? Maana sijaona PhD holder mwenye viwango vyako sehemu nyingine duniani.
 
Ni vizuri ukajuwa kuwa sina namba ya Tz. Natumia namba yangu ya Oman kwa kitu kinachoitwa Roaming. Hivyo inakuwa si rahisi kwa mtu wa Tz kuweza kunipigia kwani inakuwa kama unapiga simu za kimataifa japo mimi nikikupigia kutoka hapa ninakuwa napiga sawa na local.

Hiyo ni namba ya Kijana wangu ambaye kila pahala nipo naye ambaye kwa urahisi unaweza kunipata kwa local number.

Elimu yangu ni PhD. (Bcom- UDSM Tz), MBA (Carleton univ- Canada) na PhD (Sofia Univ -Japan).

Jina langu ni Dr Hamza Yousuf Al- Naamani. Je una la ziada?

Hongera Dr Hamza Al-Naamani, kumbe wewe ni msomi ulie bobea japo linapokuja swala la uislam na historia ya Tanganyika usomi wako huuacha na kujikita kulalamika kuwa waislam wa Tanzania wanaonewa na unajitahidi kuwajengea hofu na kutojiamini vijana wa kiislam wa Tanzania.
 
hao ni wasisi wa TANU. Ila aliotaja ni wale waanzilishi wa TAA ambao wengi wao walikuwa ni askari wa KAR. na ni wanaume watupu.

Bibi Titi na akina kawawa walitoka nje ya TAA. Kawawa alikuwa mcheza sinema ya Muhogo mchungu na katibu wa chama cha wafanyakazi.

lakin leo nilistahajabu kidogo pale mwisho kilikuja kikundi cha muziki cha waimbaji wa nyimbo za Injili na kiliimba nyimbo maalum ya Uhuru. Je kwanini kikundi cha waimbaji wa Nyimbo za injili wakiongozwa na Mbunge na mzee makasi? Je akina Sugu, Juma nature na Mwanafalsafa hawakuweza kuimba au kujichanganya nao? au waliamua kuwatenga.

Nawasifu lakini wimbo ulikuwa mzuri na alitajwa Mungu tu bila wengine kutajwa.



Sasa wangekuja wote na akina Sugu, hii shughuli si ingekesha? Sioni tatizo na uwakilishi wa kundi moja.
 
jk amewataja wazee 17, kati yao 14 ni marehemu na 3 wako hai. Hapo kwenye red unataka kutuaminisha kuwa hao wengine 16 wamekuwa wakitajwa isipokuwa sykes pekee? mbona kwa watu wengine hata hayo majina mengine walikuwa hawayajui isipokuwa Nyerere!? kama walikuwa wanatajwa, je ni kwenye sherehe gani za uhuru ambapo hao wengine wooote walitajwa isipokuwa huyo sykes?

Excelent point! Asante Kaka. Tunamwomba mhusika na vibaraka wao wafafanue hoja hii.
 
Kumbuka Abdul Wahid Sykes ndio alimkaribisha Nyerere alipotoka Pugu, au hujui hilo?

so whattt??? kukaribishana si jambo la ajabu kwa jadi ya mwafrika, yaani kipi cha kushangaza hapo? mbona Nyerere alipokuwa anaenda na kurudi shule alikuwa analala nyumbani kwa babu yangu kisha anaendelea na safari, je babu yangu nae aingie kwenye historia ya uhuru kwa sababu ya Nyerere kulala kwake?

Labda kuwe na jambo la ziada alilofanya! to my granpa as well as to me it's not a big deal! nashangaa wewe kuona nongwa saaana kwa jk the 1st kukaribishwa na sykes! kama yapo mambo ya muhimu zaidi ambayo sykes aliyafanya kiasi cha kuhusishwa na uhuru wa tanganyika hayo ndo ya ku- mention, sio ooh alimkaribisha chai, inahuuu...!?
 
hao ni wasisi wa TANU. Ila aliotaja ni wale waanzilishi wa TAA ambao wengi wao walikuwa ni askari wa KAR. na ni wanaume watupu.

Bibi Titi na akina kawawa walitoka nje ya TAA. Kawawa alikuwa mcheza sinema ya Muhogo mchungu na katibu wa chama cha wafanyakazi.

lakin leo nilistahajabu kidogo pale mwisho kilikuja kikundi cha muziki cha waimbaji wa nyimbo za Injili na kiliimba nyimbo maalum ya Uhuru. Je kwanini kikundi cha waimbaji wa Nyimbo za injili wakiongozwa na Mbunge na mzee makasi? Je akina Sugu, Juma nature na Mwanafalsafa hawakuweza kuimba au kujichanganya nao? au waliamua kuwatenga.

Nawasifu lakini wimbo ulikuwa mzuri na alitajwa Mungu tu bila wengine kutajwa.


Hujaomba, unalalama! Tuambie nani aliomba akakataliwa? Vinginevyo ni wivu wa kipuuzi tu hapa.
 
so whattt??? kukaribishana si jambo la ajabu kwa jadi ya mwafrika, yaani kipi cha kushangaza hapo? mbona Nyerere alipokuwa anaenda na kurudi shule alikuwa analala nyumbani kwa babu yangu kisha anaendelea na safari, je babu yangu nae aingie kwenye historia ya uhuru kwa sababu ya Nyerere kulala kwake?

labda kuwe na jambo la ziada alilofanya! to my granpa as well as to me it's not a big deal! nashangaa wewe kuona nongwa saaana kwa jk the 1st kukaribishwa na sykes! kama yapo mambo ya muhimu zaidi ambayo sykes aliyafanya kiasi cha kuhusishwa na uhuru wa tanganyika hayo ndo ya ku- mention, sio ooh alimkaribisha chai, inahuuu...!?

Aminia Mkuu wangu!
 
Huyo Japhet Kirilo nakumbuka alikwenda hadi makao makuu ya UNO kudai uhuru wa ngarenanyuki ambako makaburu walikua wakiishi na mateso waliyokua wakiwapa wameru ilibidi mzee atafute jinsi ya kuwasaidia wenzake!!! Realy Ngarenanyuki was like Soweto in south Africa hadi leo kuna magofu yao na washaanza kururudi kwa mgongo wa kutoa misaada!!! jaribu kutembelea shule ya sekondari ngarenanyuki utajionea mwenyewe.
 
Kumbuka kuwa hii haijawahi kutokea, tulikuwa tunaaminishwa kuwa ni Nyerere tu, mwanzo na mwisho. Leo Kikwete kakata mzizi wa fitina, tunataka historia za hao wazee, mimi naijuwa ya Sykes kama nilivyoisoma kutoka kwa Mohamed Said, hapa JF:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wananchi-miaka-50-ya-uhuru-wa-tanganyika.html

Ni kweli leo jk kakata mzizi wa fitina na hasa ameumbuka mumeo mohamed said, wewe ff, ritz, et al ambao mmekuwa mkitaka kutuaminisha humu ndani ya jf kuwa waasisi wa kudai uhuru wa tanganyika walitokea dar es salaam tu tena kariakoo na gerezani na ni waislam tu kumbe waasisi walitokea na sehemu nyingine za tanganyika na pia hawakuwa waislam peke yao ila watu madhehebu mengine, na ndo maana ili kuweka kiinimacho cha kuumbuka kwenu mmebaki kushupalia kuwa ni sykes tu ndo alikuwa hatajwi kumbe na wengine lukuki walikuwa hawatajwi! loo aibu kwenu!
 
Huyo Japhet Kirilo nakumbuka alikwenda hadi makao makuu ya UNO kudai uhuru wa ngarenanyuki ambako makaburu walikua wakiishi na mateso waliyokua wakiwapa wameru ilibidi mzee atafute jinsi ya kuwasaidia wenzake!!! Realy Ngarenanyuki was like Soweto in south Africa hadi leo kuna magofu yao na washaanza kururudi kwa mgongo wa kutoa misaada!!! jaribu kutembelea shule ya sekondari ngarenanyuki utajionea mwenyewe.

Safi! Hiyo ndio aina ya michango inayotakiwa kuenziwa katika hoja hii ya kudai uhuru wa taifa letu. Na sio upuuzi eti ndiye alimkaribisha Nyerere home, akampa supu ya pweza, mara, wakacheza bao, so what...? Ujuha mtupu!
 
  • Thanks
Reactions: mka
Back
Top Bottom