<br />
<br />
Lizzy Leo Umenishika Pabaya sana,nahisi Umeziminya korodani zangu,kulia nashindwa kucheka nashindwa,am just on tenterhook knowing not what to do!!
UMENIGUSA!! Mimi nimezaa na Mwanamke mmoja wa Kichaga watoto wawili,wa kwanza nilimzaa nikiwa na Miaka 24 na Wa Pili nikiwa na Miaka 25, I am 29 years old now approaching 30;the first one is 5 yrs old the second is 4 yrs!! Ni hadithi ndefu kidogo lakini kifupi sikuwa nimepanga kuishi na huyu Mwanamke wala kuzaa hawa watoto during then!! I wudnt like to go into details but Sikuwahi kumpenda huyu Mwanamke(Ilikuwa Uhuni wangu tu) na wala simpendi sasa but I LOVE THE KIDS ILE MBAYA,I TAKE CARE OF THEM,I GV THEM MY LOVE,MY TIME AND MY SUPPORT!!
Natazamia kumwezesha huyu Mwanamke kama uwezo utaruhusu kumjengea nyumba na kumpa some small business ili asimame mwenyewe!! Its hard to live with someone u dnt love although sijawahi kum-mistreat!! On the other hand wala sijampata wala kumtafuta mwanamke wa Kumpenda!!
Wasiwasi wangu Mimi sio kusumbuliwa na huyu Mama wa watoto wangu,hilo haliwezekani hata kwa sekunde,naujua uwezo wangu wa kudhibiti hila na Usimamizi!!!
Wasiwasi wangu siku zote umekuwa kama huyo Mama mtarajiwa atawapenda na kuwakubali watoto wangu na nitapenda niishi nao coz wanakamilisha Furaha yangu hapa duniani!!
Nitajitahidi kuwa-influence watoto wampende Mama mtarajiwa na nitaweka mikakati kabisa ya makusudi kabisa kutimiza azma hiyo e.g Nitafanya kadri ionekanavyo ionekane kama Yeye(Mama mpya) ndiyo anaewanunulia zawadi zawadi,mavazi n.k pamoja na kumsifia frm time to time kuhusu jinsi anavyowapenda!!
Kwa upande wa watoto sina shaka,kwa sababu ni watoto wangu najua nitawamudu,TATIZO huyo wa Mama Mtarajiwa,sijajua what i will do in case she shows signs of indifference to them!!
When It comes to my Children,i can go miles to defend them!! Please advise people!!
We nawe umezidi uvivu...ndo maana ulifeli vidudu!!Lolz!
Mimi nadhani watoto ni vema wakae na mama yao uendege kuwatembelea tu. Ni ngumu sana kukaa na amani kama mama wa watoto yuko hai. Lazima atakuwa anakagua wanae wanaishi vipi, mwisho wa siku ugomvi. Mama wa kambo hata akiwapenda hao watoto bado inaweza kuwa shida vile vile. Yaani sisi wamama ukifikiria ulivyoangaika kuwapata hao watoto leo hii wakuone kama mpita njia, lazima ulete shari tu watoto waendelee kuku value kuliko huyo mama kambo.
hahaha! Ila nimesoma neno baada ya neno.
sijui kwa nini tunapoachika ni ngumu kuukubali ukweli na kumpa uhuru kila mmoja kuendelea na maisha yake.
Suala la kulea watoto wa wengine ni gumu kwa wanawake wengi kwa sababu ya mambo kama hayo. Mama wa watoto anapoanza visa hata kama mama wa kambo alikuwa anawapenda watoto nae anabadilika. Nafikiri hapo muhusika mkuu ni baba kutoruhusu mvurugano wa aina yoyote.
Binafsi mara zingine natamani niolewe na mwanaume ambaye tayari ana watoto. Nahisi kama huwa wana utulivu fulani hivi.
hahaha! Ila nimesoma neno baada ya neno.
sijui kwa nini tunapoachika ni ngumu kuukubali ukweli na kumpa uhuru kila mmoja kuendelea na maisha yake.
Suala la kulea watoto wa wengine ni gumu kwa wanawake wengi kwa sababu ya mambo kama hayo. Mama wa watoto anapoanza visa hata kama mama wa kambo alikuwa anawapenda watoto nae anabadilika. Nafikiri hapo muhusika mkuu ni baba kutoruhusu mvurugano wa aina yoyote.
Binafsi mara zingine natamani niolewe na mwanaume ambaye tayari ana watoto. Nahisi kama huwa wana utulivu fulani hivi.
hahaha! Ila nimesoma neno baada ya neno.
sijui kwa nini tunapoachika ni ngumu kuukubali ukweli na kumpa uhuru kila mmoja kuendelea na maisha yake.
Suala la kulea watoto wa wengine ni gumu kwa wanawake wengi kwa sababu ya mambo kama hayo. Mama wa watoto anapoanza visa hata kama mama wa kambo alikuwa anawapenda watoto nae anabadilika. Nafikiri hapo muhusika mkuu ni baba kutoruhusu mvurugano wa aina yoyote.
Binafsi mara zingine natamani niolewe na mwanaume ambaye tayari ana watoto. Nahisi kama huwa wana utulivu fulani hivi.
Husninyo mara nyingi haya matatizo sio kwamba lazima huo mke wa kwanza awe ameachika... unakuta bado yupo, ila mke mdogo anapokuaja anahakikisha huyo mwenzie anajuta...
Hhahhaahh....ntakununulia pipi aisee!!
Hua sijui wanajisikiaje!!Ila ulivyosema ni kweli...baba ndo anaeweza kuamua kama ageuzwe uwanja wa mpira au la!!Alafu kweli wenye watoto tayari na kama anawajali anakua muda wa kuruka ruka huku na kule hana!!!
umeona eeh! Hawa masharo akikuoa we umejifungua unalea mtoto mwenzio wa pembeni analea mimba. Too bad kwakweli.Alafu kweli wenye watoto tayari anakua muda wa kuruka ruka huku na kule hana!!!
Inategemea. Nina jirani yangu ana watoto kama wanne wa nje. Wengine alizaa kaba hajaoa, wengine akiwa na mkewe. Akizaa wakifika miaka minne hivi anawaleta ndani.
Mkewe anawatesa kweli kweli na mumewe wala hajali.
Kuwa na watoto hakumpunguzii mwanaume muda wa kuruka kwa sababu wababa mambo ya kulea si kazi yao kwa hiyo hata kama ana watoto kumi; muda anao wa kutosha tu what matters ni tabia ya mtu.
Nadhani wife anamwambia awalete ndani ili asiendelee mahusiano na alozaa nao; si unajua tena atajidai naenda kumuona mtoto afu wanakumbushia
hilo ni tatizo la wanawake na mabinti wengi kupenda kuonekana yupo juu zaidi ya mwenzio.
Linapokuja suala la bi mdogo na bi mkubwa nahisi litanishinda. Nataka kuwa peke yangu.lol.
Inategemea. Nina jirani yangu ana watoto kama wanne wa nje. Wengine alizaa kaba hajaoa, wengine akiwa na mkewe. Akizaa wakifika miaka minne hivi anawaleta ndani.
Mkewe anawatesa kweli kweli na mumewe wala hajali.
Kuna wanawake wanapenda wame zao wakizaa watoto wawalete ndani wakiamini kuwa wakiwahacha kwa mzazi mwenzie basi kuna possibility kubwa ya kukumbushiana, na kuongeza mwingine.
Kuwa na watoto hakumpunguzii mwanaume muda wa kuruka kwa sababu wababa mambo ya kulea si kazi yao kwa hiyo hata kama ana watoto kumi; muda anao wa kutosha tu what matters ni tabia ya mtu.
Inategemea. Nina jirani yangu ana watoto kama wanne wa nje. Wengine alizaa kaba hajaoa, wengine akiwa na mkewe. Akizaa wakifika miaka minne hivi anawaleta ndani.
Mkewe anawatesa kweli kweli na mumewe wala hajali.
Kuwa na watoto hakumpunguzii mwanaume muda wa kuruka kwa sababu wababa mambo ya kulea si kazi yao kwa hiyo hata kama ana watoto kumi; muda anao wa kutosha tu what matters ni tabia ya mtu.
Nadhani wife anamwambia awalete ndani ili asiendelee mahusiano na alozaa nao; si unajua tena atajidai naenda kumuona mtoto afu wanakumbushia
Mpenzi nani asiyependa kua peke yake.... sometimes inabidi ku blame wanaume wenyewe...
hiyo ipo kweli ila kuna wale ambao walizaa halafu wakapitia kipindi kigumu na hao waliozaa nao hadi kufikia hatua ya kususiwa watoto; huwa ni watulivu, ngumu kurudia makosa labda kama ukiolewa nae wewe ndio uanze madoido ndani ya nyumba.
ila ni ngumu kujua na kukubali kumshea mtu....binafsi siwezi maana nadhani ni mchoyo sana kwa kitu nnachokipenda!