Wazazi Wanapozeeka

Wazazi Wanapozeeka

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,102
Reaction score
828,977
Waache wazeeke kwa upendo uleule waliokulea nao.

Waruhusu waongee na wasimulie hadithi tena na tena kwa subira na shauku ile ile waliyokusikiliza ukiwa mtoto. Waache wawe washindi, kwani mara nyingi walikuacha ushinde hata kama hukustahili ushindi .

Waache wafurahie marafiki zao, wazungumze na wajukuu zao... Waache wafurahie kuishi kati ya vitu ambavyo vimeambatana nao kwa muda mrefu, kwa sababu wanateseka wakati wanaona kuwa vipande vya maisha yao vimeng'olewa.

Waache wafanye makosa, kama ulivyofanya mara nyingi... Waache waishi na kujaribu kuwafurahia kwenye sehemu ya mwisho ya safari yao, kama vile walivyokushika mkono ulipoanza yako.

Wape support wafikie mwisho mwema! Watakuwa walinzi wako kiroho kwenye ulimwengu usioonekana watakapokuwa ni roho mautini nje ya mwili uharibikao..

FB_IMG_1701535703270.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waache wazeekr kwa upendo uleule waliokulea nao.

Waruhusu waongee na wasimulie hadithi tena na tena kwa subira na shauku ile ile waliyokusikiliza ukiwa mtoto. Waache wawe washindi, kwani mara nyingi walikuacha ushinde hata kama hukustahili ushindi .

Waache wafurahie marafiki zao, wazungumze na wajukuu zao... Waache wafurahie kuishi kati ya vitu ambavyo vimeambatana nao kwa muda mrefu, kwa sababu wanateseka wakati wanaona kuwa vipande vya maisha yao vimeng'olewa.

Waache wafanye makosa, kama ulivyofanya mara nyingi... Waache waishi na kujaribu kuwafurahia kwenye sehemu ya mwisho ya safari yao, kama vile walivyokushika mkono ulipoanza yako.

Wape support wafikie mwisho mema! Watakuwa walinzi wako kiroho kwenye ulimwengu usioonekana watakapokuwa ni roho mautini nje ya mwili uharibikao..

View attachment 2831631

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother mbona una nondo mno? Why?
 
Waache wazeekr kwa upendo uleule waliokulea nao.

Waruhusu waongee na wasimulie hadithi tena na tena kwa subira na shauku ile ile waliyokusikiliza ukiwa mtoto. Waache wawe washindi, kwani mara nyingi walikuacha ushinde hata kama hukustahili ushindi...
Hapo ndipo malipo na pa kupokea baraka tele Asante kwa neno la busara.
 
Wazazi wanapo zeeka. Kuna mengi ya kujifunza toka kwao.
Kuna vitu walivyo viona, kwako huto viona na vikitokea tena!Uliza wazazi walivikabili vipi?
Enyi watoto wa Elifuumbili, kaeni kwa wema na wazazi wenu..
 
Back
Top Bottom