Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,192
- 79,631
Mnawezaje kumtelekeza mtoto mdogo Shule ya awali mpaka msingi) shule ya boarding?
Yaani na nafsi zinakuwa huru kabisa ?
Yaani na nafsi zinakuwa huru kabisa ?
Mkuu kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?Mnawezaje kumtelekeza mtoto mdogo Shule ya awali mpaka msingi) shule ya boarding?
Yaani na nafsi zinakuwa huru kabisa ?
Uzungu mwingi sana mkuu. Mtoto mdogo anatakiwa kuwa karibu na wazazi hadi afikishapo umri wa mtu mzima ndio aweze toka.. ila uzungu, mie nimetoka kwetu nikiwa na ndevu kabisaMnawezaje kumtelekeza mtoto mdogo Shule ya awali mpaka msingi) shule ya boarding?
Yaani na nafsi zinakuwa huru kabisa ?
Usikwepe kuwajibika kakaMkuu kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?
Naunga mkono hojaUzungu mwingi sana mkuu. Mtoto mdogo anatakiwa kuwa karibu na wazazi hadi afikishapo umri wa mtu mzima ndio aweze toka.. ila uzungu, mie nimetoka kwetu nikiwa na ndevu kabisa
Inasikitisha sana mama ana muda wa kukaa bar from monday to monday,Wanawake wengi tumekuwa wavivu kulea...starehe tumeziendekeza mno,uwepo wa mtoto kando yangu muda wote naona ananibana kwenda marathon Dodoma.
Inaumiza sana kiukweli...sijui,hii dunia tunakoelekea🙌
Hujajibu swali kaka. Nawajibikaje? Nibaki namlea nyumbani?kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?Usikwepe kuwajibika kaka
Exactly 💯Hili kosa niliwahi kufanya KWA miezi Tisa, Hadi Leo imrmchukua Dogo miaka miwili Bado hajarudia ujasiri na uthubitu alipokufa nao kabla. Wengi hawafanyi makusudi bali mazingira ndio yanaperekea. Ila ni uamuzi wa kikatiri ambao mtoto atafanyiwa
Sio kisingizio hichoMkuu kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?
Hujajibu swali dada, usipite pembeni. Nawajibikaje? Nibaki namlea nyumbani?kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?Sio kisingizio hicho
Dada wa kazi! Ukirudi usiku kutoka kazini unamuona, weekend unakua nae. Ugumu upo wapi?Hujajibu swali dada, usipite pembeni. Nawajibikaje? Nibaki namlea nyumbani?kama hatuna watu wa kuwalea na kuwatunza wakiwa day, tungefanyaje?