Wazazi mmekuwaje?

Hivi mnawezaje kuishi na kujamiiana kabla ya ndoa?

Raha ya kujamiiana ni ndoa na mumeo au mkeo ajue mnakulana na nani mwengine kunogesha ndoa.
 
Migogoro na Unafiki ndo dhamira kubwa kwenye maisha ya mwanadamu. Haya yanatokea sababu, mawazo yako na ya mazazi yanatofautiana. Ni vyema kuwaeleza mipango yako.
Kuna siku Bimkubwa aliwahi niuliza kama niko sawa (nguvu za kiume). Hii ni baada ya kuona kupindi chote ambacho nimekaa pale home likizo zote za advance na secondary - hakuna siku aliona naongea na dem au hata kumleta home.
Binafsi mimi nakaa ndani sana. Nikitoka basi yeye kanituma sehemu na narudi chap.
Ilikuwa kazi kumuelezea mpaka akanielewa.
 
Ila ndio uhalisia, bora mzazi anayemkumbusha binti yake swala la kuolewa mapema maana mwanamke ana muda wa ukomo na uwezo wa kubeba ujauzito.

Ni upendo sana huo japo unaonekana kama ni kero, ni sawa tu na mzazi kumchapa mwanaye akiwa anamuonya jambo fulani.
 
Chai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…