rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,856
Kiukweli huwa najiuliza kwanini wazazi huwa wanakataza watoto wao wasioe kabila fulani?
Mfano mimi mama yangu hataki nioe kina Tununu so huwa najitahidi isitokee hata bahati mbaya nikawa nao kwenye mahusiano maana mama hataki hata kuwasikia.
Inaweza kuwa kweli tokana tabia za makabila hayo mzazi anajua ni mbaya ila saa nyingine ni mambo aliyowahi tendewa na watu wa kabila hilo kipindi fulani yanamfanya awe hivyo.
Wewe umekatazwa kuoa wapi?
Mfano mimi mama yangu hataki nioe kina Tununu so huwa najitahidi isitokee hata bahati mbaya nikawa nao kwenye mahusiano maana mama hataki hata kuwasikia.
Inaweza kuwa kweli tokana tabia za makabila hayo mzazi anajua ni mbaya ila saa nyingine ni mambo aliyowahi tendewa na watu wa kabila hilo kipindi fulani yanamfanya awe hivyo.
Wewe umekatazwa kuoa wapi?