GJ Mwanakatwe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 241
- 27
Hakuna kitu kama hicho eti muungano kuvunjwa, ni ujuha tu, matumizi mabaya ya uhuru wa kutoa maoni. Asiyetaka muungano na ahame tz aende nchi ambayo haina muungano. Zanzibar ni sehemu ya muungano hata kama ikibidi nguvu zitatumika juu ya hao wanao dai kujitenga, hatuwezi kurudishwa nyuma na watu wachache ambao hawajui watakalo wala wasemalo.Sasa hivi issue ya kuzungumzia ni East African Federation siyo upuuzi wa zanzibar kujitenga kwa kuwa haiwezekani, tayari ni ndugu, kama isivyowezekana kukana undugu na ndugu yako wa tumbo moja ndio na muungano haukaniki japo unaweza kurekebishika.