Sisi hatuna makubwa. Kwa kuwa ni watutunao tawaliwa(kikoloni) na Tanganyika kwa kisingizio cha muungano, tunachotaka ni "independence", "Freedom" and "Democracy".
Sina haja kuchambuwa kila kimoja lakini nafikiri wakuu munanifahamu vizuri tu. Matatizo makubwa ni kuwa pale wazanzibari wanapo jaribu kuwaeleza matatizo yao, wenzetu munafunga masikio. Kwa kejeli munatwambia, "mayakhe hao kubwa wakaimbe taarabu". Siku hizi naona taarabu munaimba nyinyi maana mumewasikia wazanzibari kwa sauti moja kabisa kuwa "HATUUTAKI MUUNGANO".
Hatima ya muungano soote tunaijuwa na CCM na vikaragosi wake, wanachotumia ni ubabaishaji tu. Ni mfano wa "mbuni anapo tia kichwa chake mchangani akihisi amesalimika kwa kuwa hamuoni adui yake kumbe vile mwili wake wote uko nje".
Wazanzibari wamekwisha kuchoka na usaniii ndio maana tunasema,"IT'S OVERRRRR".
Sina haja kuchambuwa kila kimoja lakini nafikiri wakuu munanifahamu vizuri tu. Matatizo makubwa ni kuwa pale wazanzibari wanapo jaribu kuwaeleza matatizo yao, wenzetu munafunga masikio. Kwa kejeli munatwambia, "mayakhe hao kubwa wakaimbe taarabu". Siku hizi naona taarabu munaimba nyinyi maana mumewasikia wazanzibari kwa sauti moja kabisa kuwa "HATUUTAKI MUUNGANO".
Hatima ya muungano soote tunaijuwa na CCM na vikaragosi wake, wanachotumia ni ubabaishaji tu. Ni mfano wa "mbuni anapo tia kichwa chake mchangani akihisi amesalimika kwa kuwa hamuoni adui yake kumbe vile mwili wake wote uko nje".
Wazanzibari wamekwisha kuchoka na usaniii ndio maana tunasema,"IT'S OVERRRRR".