Wazanzibar wawasili Bara kwa wingi

Wazanzibar wawasili Bara kwa wingi

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Nina marafiki zangu wa ki Zanzibar wengi sana hata maeneo ninayoishi wako wengi sana. Kuna wengine walienda kwao muda mrefu leo nimewaona wengi kweli wanawasili! Nikajiuliza si hawataki muungano huku wanataka nini tena?.
 
Wanaharibu kwao wanakuja kujificha kwa jirani, balaa zaidi ni kwamba hawamtaki hata jirani, tutaona na kusikia mengi na ndipo tutakapozidi kuelewa kwamba ujinga sio mtaji.
 
Nilikuwa maeneo ya bandari jio hii niliamua kutoka nikaenda kutazama muda wa saa moja nimeona boti 6 zote zimeshusha watu full.
 
Wameharishia kambi wanataka kutuletea shombo huku? Warudi huko huko kwenye taifa lao. Wanadai uhuru huku wanakimbia? Nyam**fu zao!
 
Waacheni tu wajaeee weee ili na sisi tutakapo amua kukinukisha tuwafaidi vya kutosha.
 
Maalim Seif Sharrif alijificha Kariakoo mpaka akapata huu uongozi unautumia kusaidia Ugaidi wa Uamsho
 
Wajitangaze kuwa wakimbizi tuwatengee makambi kule Bwagamoyo!
 
subiri jk atoke kutalii marekani atawatafutia eneo pande za mabwepande
 
Nina marafiki zangu wa ki Zanzibar wengi sana hata maeneo ninayoishi wako wengi sana. Kuna wengine walienda kwao muda mrefu leo nimewaona wengi kweli wanawasili! Nikajiuliza si hawataki muungano huku wanataka nini tena?.
muungano sio lazima,wazanzibari wanaweza kusafiri kuja huku kwetu bara bila hata ya kuwa na muungano.
 
Wee chiziii wacha uongo wako huo au ndio propaganda zenu ili muoneshe kuwa Wazanzibari tunaipenda Tanganyika, kwa hili hujafanikiwa tafuta jengine la kuzua usitupotoshe wenzako.

Ndo hayoo mara kanisa limechomwa, cjui watanganyika watakiwa wahame Zenji, ilimradi kujitukuza, cheki magazeti ya leo mmeweka mpaka picha za kughushi kwenye Tz Daima khaaa!!!!
 
wabara msijidanganye na ulimwengu wa sasaiv, mzanzibar ana uwezo wa kuishi maisha bora bila hata kugusa bara, dunia ni ndogo sana zenu ni pumba tu na ndio maana wanajiamini kudai nchi yao, mbona nyinyi hamudai tanganyika yenu? na mumesoma sana?
 
Wee chiziii wacha uongo wako huo au ndio propaganda zenu ili muoneshe kuwa Wazanzibari tunaipenda Tanganyika, kwa hili hujafanikiwa tafuta jengine la kuzua usitupotoshe wenzako.

Ndo hayoo mara kanisa limechomwa, cjui watanganyika watakiwa wahame Zenji, ilimradi kujitukuza, cheki magazeti ya leo mmeweka mpaka picha za kughushi kwenye Tz Daima khaaa!!!!

Kwani uongo! Mbona hata ITV wameonyesha usiku huu mlivyotaka kulichoma kanisa la tatu lakini juhudi hizo kuzimwa na polisi? Nyie dawa yenu iko jikoni subiri kidogo.
 
Naona sio Wazanzibari wote wanaotaka Muungao kuvunjika ni baadhi yao ambao Wana Mrengo wa kushoto wanaswali kwenye Misikiti yenye kufuata Mambo ya Kisiasa na yanapata Misaada toka Nje ya Nchi.

Na Unajua baada ya kujitenga hiyo Misaada inapotea wanaachwa wenyewe wanaanza kujuta; Angalia Somalia Walipopata Misaada ya kumuondoa Siad Barre; sasa hivi Somalia hapakaliki nani kafaidika?
 
Waacheni waje! Tukinukisha huku na sisi naenda kukamata maduka yao kule kariakoo
 
Back
Top Bottom