Wazanzibar wanatuchafua Watanganyika

Wazanzibar wanatuchafua Watanganyika

zanzibar sijawahi kusikia bomu limerushwa kwenye mikutano ya watu wengi na kuua watu.Kwa nini tunaongea uongo hapa na kuwakandamiza wazanzibari.Mimi sio mzanzibar lakini ukweli lazima uwe mkweli tu.Huu uzi umekosewa sana,mabomu yamerushwa Arusha mara mbili na kuua watu.Mbona hatujasema Tanzania bara inaichafua Tanzania?.au mnajua wanaofanya hivyo.Jamani CCM ndio adui yetu mkubwa sana.Na ndio Gaidi namaba one hapa Tanzania.Tuliangamize hili joka ccm kwenye uchanguzi kuanzia mwakani kwenye serikali za mitaa na 2015 uchaguzi mkuu.muulize ndugu yako kuwa amejiandikisha na ana kitambulisho.Alafu mpe elimu ampigie nani kura yake na pia arlinde kura vizuri.ccm kwa heri ya kuonana
 
Huu ndo ujinga unaonipelekea nikawa najikuta nawachukia Watanganyika. Jitu limetoka kunywa pombe huko, jitu lisilo na maadili, jitu ambalo tunalibeba ktk kila nyanja, jitu ambalo hata ukilifundisha nini halielewi labda njama za wizi, jitu ambalo tumelifungua macho na kulifunza ustaarabu, mpaka lugha tukalitengenezea, tukafkiria lishafikia mizania ya ubinaadam aaahh kumbe wapi? Mtanisamehe watanganyika wachache ambao hampindishi ukweli na ambao roho zenu ni safi.....nafahamu kwamba mupo, but hapa nayazungumzia yale majuha yanayoongozwa na hisia za kibaguzi. Yanawaza maadam wazanzibari ni waislamu tukiacha kuwafanyia hila watapiga hatua maana sisi from the beginning ni watu straight forward, hatuna longo longo sie. Na kama hamfahamu nyie watanganyika washenzi vichwa ngumu, ni kwamba uwepo wa Z'bar mmoja ktk wadau wanaounda Tz ndiko kulikoifanya angalau hii Tz ikawa haijaripuka mapema. Amini ama msiamini, km mtaamua kuiachia Z'bar leo hii bila ya kuibughudhi kwa namna yoyote ile, basi kuna mambo mawili yatatokea lazima. Kwanza: Z'bar itasonga mbele kiuchumi. Pili: Tanganyika haitavuka miaka 5 kama hamjapigana mapanga. Acheni roho mbaya........ujinga tuuu mnasoma nini nyie watu..................... I'm proud being a Zanzibari, I am proud being a muslim, Allah anipe moyo wa kumuabudu zaid kwa utiifu, aniepushe na kuwachukia watanganyika wajinga, na namuomba awazindue watoke kwenye matope ya ujinga walimozama. Nawasilisha......!!!!!!!
 
Matukio ya tindikali zanzibar na mauaji yanatuchafua pia watanganyika maana kimataifa inalipotiwa kama Tanzania ambayo 90% mataifa yanaitambua kuwa ni Tanganyika.

Wazanzibar mbadilike bwana.

Dada yangu doma akili zako umezihamishia ma------ni hivi kweli vifo vya risasi vya juzi mhadhiri na yule tajiri wa arusha tindi kali ya ssid mahonda kifo cha daudi kungolewa kucha na macho je ni vya wazanzibari
 
Serwa yangu ni kama ifuatavyo:
1. Sasa hivi kila siku wanakamatwa watanzania kuanzia wawili na kuendelea kila kona ya dunia, wanakamatwa na madawa ya kulevya, na wanaondokea pale dar airport; hii sio ‘news’ wala aibu wala kuvunja amani na utulivu. Ni sawa, so long wamefanya watanganyika. Mpaka Rais wa nchi, Kikwete amekaa kimyaaaaa, kama hakuna kitu.
2. Kuna makontena mengi ya madawa ya kuelvya yamekamatwa nchi Fulani (xxx) yametokea bandari ya dar na mengine Zenj (serikali zote mbili, kimyaaaaaaaa), hili ni la jana na juzi tu, sio yale ya miaka ileeeee. La hasha, jana na leo Bob Ally.
3. Kuna wafanyabiashara wanapigwa risasi kama mithili ya kuuwa popo, na yule mhadhir wa UDSM jana tu, ameuwawa kikatili (polisi kimya, na Said Mwema bado ni IGP) though haya yote yanamgusa yeye moja kwa moja na Nchimbi bado anabaki kama waziri wa mambo ya ndani. Nakumbuka Mwinyi, Natepe na wengine wengi walijiuzulu kw amakosa madogo madogo tu, seuze kama haya.
4. Sheikh mmoja ametiwa acid kule Arusha (nadhanu arumeru) kimyaaaa.
5. Intelligence ya hapa na polisi yake, imejifunga pahala pamoja tu: Uamsho au udini — kwa nini wasiende mbali katika uchunguzi wao (watuambie cause ya mauwaji wa padre Evarist Mushi, kupigwa risasi kwa padre Mkendo, na hawa waingereza wawili: nini kinaendelea ndaini ya kanisa hapa Zanzibar, kwani makosa wanafanya ‘muslim extremists tu, je, hakuna extremism katika christianinty, au hakuna dirty game ndani ya kanisa, foul play……..)? hebu polisi mtuambie mlinasa nini siku ya maziko ya padre Mushi (funueni pazia kidogo tujue): ukimya wa taasisi zetu ndio inafanya wengine tuendelee kuwa na shaka na utendaji wenu.
6. Mfanya baishara dar ametiwa acid, jana yule tajiir wa mererani pia alipigwa risasi ishirini — polisi kimyaaaaa, na bado Said Mwema yupo, bado nchimbi yupo…….hee jamani huu uoza umeanza top-down ndani ya uendeshaji wa serikali.
7. tukumbuke kuwa tumeruhusu ‘vikundi’ viovu vingi hapa Zanzibar kwa jina la ‘vyama vya siasa’, na tusisahau kuwa tumekuwa na eti na polisi jamii kila kona hapa Zanzibar, lakini uhalifu unazidi? kwa nini, na hasa mji mkongwe…..hawa polisi jamii ni nani, tumewaamini vipi — sawa ‘trust them, but also control them’, tumewaachilia sana, na hasa mji mkongwe, mpaka sasa wameota pembe wanakusanya kodi, malipo kila kona ya mji under different names. Tunaachilia uzoa wa kila aina katika jamii yetu, matokeo yake ndio haya. Tumeruhusu uvunjaji wa sharia, sasa tunavuna matokeo yake. n.k n.k n.k nk………

Kuna Mtu Mmoja tu aliyedhibitika bila shaka yoyote kwamba ni GAIDI katika Nchi yetu naye ni MZANZIBAR,MOHAMED GHAILAN.Huyu hasa ndie amechafua Taswira ya Nchi yetu.
 
Usiwe mbinafsi kiasi hicho kwa kujifanya kujisahaulisha yanayotokea Tanganyika haya yafuatayo yalitokea zanzibar?
1. Kumwagiwa Tindikali kubenea
2. Kuwekewa sumu Mwakyembe
3. Kuuawa kwa Mwangosi
4. Mlipuko wa Bomu kanisani Olasit Arusha
5. Mlipuko wa Bomu Mkutano wa CDM Soweto Arusha
6.Kumwagiwa Tindikali Shehk Arusha
7. Kumwagiwa tindikali mzee wa Home Shooping center
8. kumwagiwa tindikali Musa Tesha
9. Mauaji ya kinyama ya Mwenyekiti wa CDM kule useriver
10. Kuuawa kwa kada wa CCm kule Ndago
11. Kuuawa kwa kada wa CDM kule Igunga
12. Kushambuliwa wabunge wa CDM kule Mwanza
13. kushambuliwa kwa Mbunge Nassar kule Monduli
14. Kuwepo na wauza madawa ya kulevya wanaotambulika lakini hawachukuliwi hatua ingawa rais ana majina yao.

Ukilinganisha matukio ya Zanzibar na kwetu Tanganyika ya kwetu ni mengi sana kwa hiyo kama ni uchafuzi wa Tanzania watanganyika tunaongoza kuichafua Tanzania.

Na jana tu shehe kapigwa mapanga akiswalisha mbeya
 
Huu ndo ujinga unaonipelekea nikawa najikuta nawachukia Watanganyika. Jitu limetoka kunywa pombe huko, jitu lisilo na maadili, jitu ambalo tunalibeba ktk kila nyanja, jitu ambalo hata ukilifundisha nini halielewi labda njama za wizi, jitu ambalo tumelifungua macho na kulifunza ustaarabu, mpaka lugha tukalitengenezea, tukafkiria lishafikia mizania ya ubinaadam aaahh kumbe wapi? Mtanisamehe watanganyika wachache ambao hampindishi ukweli na ambao roho zenu ni safi.....nafahamu kwamba mupo, but hapa nayazungumzia yale majuha yanayoongozwa na hisia za kibaguzi. Yanawaza maadam wazanzibari ni waislamu tukiacha kuwafanyia hila watapiga hatua maana sisi from the beginning ni watu straight forward, hatuna longo longo sie. Na kama hamfahamu nyie watanganyika washenzi vichwa ngumu, ni kwamba uwepo wa Z'bar mmoja ktk wadau wanaounda Tz ndiko kulikoifanya angalau hii Tz ikawa haijaripuka mapema. Amini ama msiamini, km mtaamua kuiachia Z'bar leo hii bila ya kuibughudhi kwa namna yoyote ile, basi kuna mambo mawili yatatokea lazima. Kwanza: Z'bar itasonga mbele kiuchumi. Pili: Tanganyika haitavuka miaka 5 kama hamjapigana mapanga. Acheni roho mbaya........ujinga tuuu mnasoma nini nyie watu..................... I'm proud being a Zanzibari, I am proud being a muslim, Allah anipe moyo wa kumuabudu zaid kwa utiifu, aniepushe na kuwachukia watanganyika wajinga, na namuomba awazindue watoke kwenye matope ya ujinga walimozama. Nawasilisha......!!!!!!!

Heko!umemaliza kila kitu sichangii tena huu mjadala umenifilisi maneno.
 
Mauaji mengine yana taswira ya Ujambazi. Lakini ya Zanzibar ni ugaidi ndiyo maana hawakupora kitu
ndo kusema ni afadhali wanaochuna ngozi na kukata viungo vya albino kuliko wamwagia tindikali?.
 
Na jana tu shehe kapigwa mapanga akiswalisha mbeya
ukweli ni kwamba uhalifu unaotokea huku bara ni wa kutisha kuliko unaotokea zanzibar,na tatizo ni kwamba huku bara matukio ya mauaji ya kutisha yanatokea karibu kila siku.
 
Kuna Mtu Mmoja tu aliyedhibitika bila shaka yoyote kwamba ni GAIDI katika Nchi yetu naye ni MZANZIBAR,MOHAMED GHAILAN.Huyu hasa ndie amechafua Taswira ya Nchi yetu.
wanachafua taswira kwa nani?au kwa wazungu,...ajabu saudia ambayo ndo waliteketeza world trade centre taswira yao ni nzuri tu kwa haohao wazungu.

Mijitanzania inapenda sana kujikomba kwa wazungu,sijui kwanini.
 
Kila mtu akijenga heshima kwake mwenyewe nchi itakuwa Salama. Tofauti ni malezi ya kimila na kiimani na kiuchumi yanaangamiza taifa
 
Back
Top Bottom