Wazanzibar Haki Yetu Inaelekea Kuporwa.

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,279
Leo maeneo yote ya mjini polisi wameweka mageti ya chuma kwenye kona za kukatisha kwenye mitaa na barabara, bunduki mabomu ya machozi magari ya jeshi la polisi huku na huku kama nchi tayari imeingia kwenye Vita kama huna vitambulisho huna ruhusa kuingia eneo jengine unarudishwa ulikotoka.

Haki ya Wazanzibari kuna kila dalili sasa inataka kuporwa.
 
wazanzibar wameufyata. tanganyika inaendelea kuikalia kwa mabavu zanzibar. majeshi toka toka tanganyika yanaendelea kumiminika zanzibar ili kuwatisha wazanzibar wasidai haki yao.
 
hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya uoga. Wapambane kudai haki Yao ilyoporwa na mafisiem.
 
Mungu si marehemu .kama umejivika kazi ya ziraili ya kutoa roho za watu basi watoe tu
 
Kila kitu kina mwisho hata Sultan alijiaminisha kuwa angetawala milele!!!
 
Leo maeneo yote ya mjini polisi wameweka mageti ya chuma kwenye kona za kukatisha kwenye mitaa na barabara, bunduki mabomu ya machozi magari ya jeshi la polisi huku na huku kama nchi tayari imeingia kwenye Vita kama huna vitambulisho huna ruhusa kuingia eneo jengine unarudishwa ulikotoka.

Haki ya Wazanzibari kuna kila dalili sasa inataka kuporwa.
hao askari wametoka bara na uchaguzi wakarudie haohao wabara
 
Viongozi wa dini (wao ni sehemu ya jamii) wajitokeze bila unafiki ili kuzungumza ukweli utakaoepusha shari!
 
Leo maeneo yote ya mjini polisi wameweka mageti ya chuma kwenye kona za kukatisha kwenye mitaa. Haki ya Wazanzibari kuna kila dalili sasa inataka kuporwa.
Unazungumzia haki za Zanzibar gani?, Zainzibar ile huru ya mwaka 1963, Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Januari 12, 1964, au Zanzibar mke wa mtu, aliyeolewa April 26, 1964 kwenye ndoa ya muungano na Tanganyika na kuunda Tanzania?!.

Kama ni mke wa mtu, hakuna uhuru usio na mipaka!. Mume ndio atapanga taratibu zote!. Mtu ni mke wa mtu, umeolewa uko ndani ya ndoa, hakuna tena uhuru wa kuzurura mitaani na kujiendea popote muda wowote unaotaka kama jinsi ulivyokuwa kabla hujaolewa!. Ukitaka kutoka sasa ni lazima uombe ruhusa kusema unakwenda wapi na kufanya nini, tena bila kuambiwa muda wa kurudi lazima urudi mapema mida ya heshima, na uwahi kutimiza makujumu yako kwa wakati, kama kumpijia mumeo, kuntegea maji ya kuoga, na kupata muda wa kutosha kujiandaa kutimiza yale mengine!.

Mtu ulishwe, uvishwe, uhudumiwe, kisha utake kuwa huru kama vile hujaolewa, uhuru gani unaouzungumzia wewe?!.
Ila kama ndoa umeichoka na unazo sababu za msingi, then ruksa kuomba talaka yako, upewe ndipo uwe huru kama zamani!. Tena afadhali mume mwenyewe ni mu Afrika na sio Mwarabu au Chotara!, kwa` maana namfahamu Mwarabu fulani, mkewe kafungiwa ndani wakati wote!, hata sokoni, buchani, dukani, gengeni, anakwenda mume na kuleta nyumbani mahitaji yote!. Mke hata kutoka nje hatoki zaidi ya kuchungulia tuu dirishani!.

Si aheri uhuru huo mlio nao!. Muwe na shukrani kwenye madogo ili muweze kupatiwa makubwa!.
Hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!.
Pasco
 
Unazungumzia haki za Zanzibar gani?, Zainzibar ile huru ya mwaka 1963, Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Januari 12, 1964, au Zanzibar mke wa mtu, aliyeolewa April 26, 1964 kwenye ndoa ya muungano na Tanganyika na kuunda Tanzania?!.

Kama ni mke wa mtu, hakuna uhuru usio na mipaka!. Mume ndio atapanga taratibu zote!. Mtu ni mke wa mtu, umeolewa uko ndani ya ndoa, hakuna tena uhuru wa kuzurura mitaani na kujiendea popote muda wowote unaotaka kama jinsi ulivyokuwa kabla hujaolewa!. Ukitaka kutoka sasa ni lazima uombe ruhusa kusema unakwenda wapi na kufanya nini, tena bila kuambiwa muda wa kurudi lazima urudi mapema mida ya heshima, na uwahi kutimiza makujumu yako kwa wakati, kama kumpijia mumeo, kuntegea maji ya kuoga, na kupata muda wa kutosha kujiandaa kutimiza yale mengine!.

Mtu ulishwe, uvishwe, uhudumiwe, kisha utake kuwa huru kama vile hujaolewa, uhuru gani unaouzungumzia wewe?!.
Ila kama ndoa umeichoka na unazo sababu za msingi, then ruksa kuomba talaka yako, upewe ndipo uwe huru kama zamani!. Tena afadhali mume mwenyewe ni mu Afrika na sio Mwarabu au Chotara!, kwa` maana namfahamu Mwarabu fulani, mkewe kafungiwa ndani wakati wote!, hata sokoni, buchani, dukani, gengeni, anakwenda mume na kuleta nyumbani mahitaji yote!. Mke hata kutoka nje hatoki zaidi ya kuchungulia tuu dirishani!.

Si aheri uhuru huo mlio nao!. Muwe na shukrani kwenye madogo ili muweze kupatiwa makubwa!.
Hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!.
Pasco
Duh!! Hivyo ndivyo baba yako alivyomtreat mama yako? Na hivyo ndivyo unavyo au uatakavyo m-treat mkeo? Halafu mnatuhubiria haki sawa kwa wote, na how to empower women. Nimekuelewa
 
Duh!! Hivyo ndivyo baba yako alivyomtreat mama yako? Na hivyo ndivyo unavyo au uatakavyo m-treat mkeo? Halafu mnatuhubiria haki sawa kwa wote, na how to empower women. Nimekuelewa
huwezi kukubali kuolewa halafu ukataka kuendelea kuwa huru, kitendo tuu cha kuolewa ni ku surrender kiwango fulani cha uhuru wako!.

Miungano yote duniani inaendeshwa kwa mfumo, au mke mmoja, union, au wake wengi, federation. Muungano wetu ni wa ndoa ya mke mmoja mume mmoja, ni taifa moja la JMT chini ya rais mmoja!. Kama ilivyo katika ndoa, mke anao uhuru wake kufanya mambo yake yoyote ya ndani kwa uhuru bila kuingiliwa na mumewe ikiwemo atavaa nguo gani, atasuka mtindo gani wa nywele, atapika chakula gani, ayakarrangiza vipi, ataunga kwa mafuta, karanga au nazi, etc!, hata hivyo mambo ya nje ya nyumba lazima mumewe aridhie!.

Mke kama mke anao uhuru na mambo yake yote ya ndani, ila hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!. Mke ukitimiza wajibu wako kwenye ndoa ndipo unakuwa na uhalali wa kudai haki zako ikiwemo kulishwa, kuvishwa na kutunzwa!.

Vivyo hivyo serikali ya JMT inalisha, inavisha na inatunza ila zaidi ya hayo yote inalinda kuhakikisha mke anakuwa salama!.

Pasco
 
Unazungumzia haki za Zanzibar gani?, Zainzibar ile huru ya mwaka 1963, Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Januari 12, 1964, au Zanzibar mke wa mtu, aliyeolewa April 26, 1964 kwenye ndoa ya muungano na Tanganyika na kuunda Tanzania?!.

Kama ni mke wa mtu, hakuna uhuru usio na mipaka!. Mume ndio atapanga taratibu zote!. Mtu ni mke wa mtu, umeolewa uko ndani ya ndoa, hakuna tena uhuru wa kuzurura mitaani na kujiendea popote muda wowote unaotaka kama jinsi ulivyokuwa kabla hujaolewa!. Ukitaka kutoka sasa ni lazima uombe ruhusa kusema unakwenda wapi na kufanya nini, tena bila kuambiwa muda wa kurudi lazima urudi mapema mida ya heshima, na uwahi kutimiza makujumu yako kwa wakati, kama kumpijia mumeo, kuntegea maji ya kuoga, na kupata muda wa kutosha kujiandaa kutimiza yale mengine!.

Mtu ulishwe, uvishwe, uhudumiwe, kisha utake kuwa huru kama vile hujaolewa, uhuru gani unaouzungumzia wewe?!.
Ila kama ndoa umeichoka na unazo sababu za msingi, then ruksa kuomba talaka yako, upewe ndipo uwe huru kama zamani!. Tena afadhali mume mwenyewe ni mu Afrika na sio Mwarabu au Chotara!, kwa` maana namfahamu Mwarabu fulani, mkewe kafungiwa ndani wakati wote!, hata sokoni, buchani, dukani, gengeni, anakwenda mume na kuleta nyumbani mahitaji yote!. Mke hata kutoka nje hatoki zaidi ya kuchungulia tuu dirishani!.

Si aheri uhuru huo mlio nao!. Muwe na shukrani kwenye madogo ili muweze kupatiwa makubwa!.
Hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!.
Pasco


Pasco hayo maneno utasababisha watu wajitoe mhanga ni makali. Wakibanwa sana Mungu atawapa njia mbadala
 
huwezi kukubali kuolewa halafu ukataka kuendelea kuwa huru, kitendo tuu cha kuolewa ni ku surrender kiwango fulani cha uhuru wako!.

Miungano yote duniani inaendeshwa kwa mfumo, au mke mmoja, union, au wake wengi, federation. Muungano wetu ni wa ndoa ya mke mmoja mume mmoja, ni taifa moja la JMT chini ya rais mmoja!. Kama ilivyo katika ndoa, mke anao uhuru wake kufanya mambo yake yoyote ya ndani kwa uhuru bila kuingiliwa na mumewe ikiwemo atavaa nguo gani, atasuka mtindo gani wa nywele, atapika chakula gani, ayakarrangiza vipi, ataunga kwa mafuta, karanga au nazi, etc!, hata hivyo mambo ya nje ya nyumba lazima mumewe aridhie!.

Mke kama mke anao uhuru na mambo yake yote ya ndani, ila hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!. Mke ukitimiza wajibu wako kwenye ndoa ndipo unakuwa na uhalali wa kudai haki zako ikiwemo kulishwa, kuvishwa na kutunzwa!.

Vivyo hivyo serikali ya JMT inalisha, inavisha na inatunza ila zaidi ya hayo yote inalinda kuhakikisha mke anakuwa salama!.

Pasco
Nimekuelewa ila dunia ya leo usimtumie mwanamke kwa namna hiyo. Tunae makamu wa rais ni mwanake , tulikuwa na spika ni mwanamke, wape heshima yao. Mimi tatizo langu ni unafiki, ndio maana sikuwalaumu na wala sitawalaumu waliobeba yale mabango ya machotara, kwan wamekuwa wawazi na hawakutaka unafiki. Tunajisifia aman na democrasia na tunajua kweli kujigamba halafu leo hii umejaza majeshi kila kona ili uendelee kutawala! Kweli? Tuwe wawazi tu. Hao polisi tungewatumia kwa ndugu zetu albino si wangeishi kwa amani sana?
 
Unazungumzia haki za Zanzibar gani?, Zainzibar ile huru ya mwaka 1963, Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Januari 12, 1964, au Zanzibar mke wa mtu, aliyeolewa April 26, 1964 kwenye ndoa ya muungano na Tanganyika na kuunda Tanzania?!.

Kama ni mke wa mtu, hakuna uhuru usio na mipaka!. Mume ndio atapanga taratibu zote!. Mtu ni mke wa mtu, umeolewa uko ndani ya ndoa, hakuna tena uhuru wa kuzurura mitaani na kujiendea popote muda wowote unaotaka kama jinsi ulivyokuwa kabla hujaolewa!. Ukitaka kutoka sasa ni lazima uombe ruhusa kusema unakwenda wapi na kufanya nini, tena bila kuambiwa muda wa kurudi lazima urudi mapema mida ya heshima, na uwahi kutimiza makujumu yako kwa wakati, kama kumpijia mumeo, kuntegea maji ya kuoga, na kupata muda wa kutosha kujiandaa kutimiza yale mengine!.

Mtu ulishwe, uvishwe, uhudumiwe, kisha utake kuwa huru kama vile hujaolewa, uhuru gani unaouzungumzia wewe?!.
Ila kama ndoa umeichoka na unazo sababu za msingi, then ruksa kuomba talaka yako, upewe ndipo uwe huru kama zamani!. Tena afadhali mume mwenyewe ni mu Afrika na sio Mwarabu au Chotara!, kwa` maana namfahamu Mwarabu fulani, mkewe kafungiwa ndani wakati wote!, hata sokoni, buchani, dukani, gengeni, anakwenda mume na kuleta nyumbani mahitaji yote!. Mke hata kutoka nje hatoki zaidi ya kuchungulia tuu dirishani!.

Si aheri uhuru huo mlio nao!. Muwe na shukrani kwenye madogo ili muweze kupatiwa makubwa!.
Hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!.
Pasco
haa haa uko sahihi aiseh..
 
Unazungumzia haki za Zanzibar gani?, Zainzibar ile huru ya mwaka 1963, Zanzibar ya Mapinduzi Matukufu ya Januari 12, 1964, au Zanzibar mke wa mtu, aliyeolewa April 26, 1964 kwenye ndoa ya muungano na Tanganyika na kuunda Tanzania?!.

Kama ni mke wa mtu, hakuna uhuru usio na mipaka!. Mume ndio atapanga taratibu zote!. Mtu ni mke wa mtu, umeolewa uko ndani ya ndoa, hakuna tena uhuru wa kuzurura mitaani na kujiendea popote muda wowote unaotaka kama jinsi ulivyokuwa kabla hujaolewa!. Ukitaka kutoka sasa ni lazima uombe ruhusa kusema unakwenda wapi na kufanya nini, tena bila kuambiwa muda wa kurudi lazima urudi mapema mida ya heshima, na uwahi kutimiza makujumu yako kwa wakati, kama kumpijia mumeo, kuntegea maji ya kuoga, na kupata muda wa kutosha kujiandaa kutimiza yale mengine!.

Mtu ulishwe, uvishwe, uhudumiwe, kisha utake kuwa huru kama vile hujaolewa, uhuru gani unaouzungumzia wewe?!.
Ila kama ndoa umeichoka na unazo sababu za msingi, then ruksa kuomba talaka yako, upewe ndipo uwe huru kama zamani!. Tena afadhali mume mwenyewe ni mu Afrika na sio Mwarabu au Chotara!, kwa` maana namfahamu Mwarabu fulani, mkewe kafungiwa ndani wakati wote!, hata sokoni, buchani, dukani, gengeni, anakwenda mume na kuleta nyumbani mahitaji yote!. Mke hata kutoka nje hatoki zaidi ya kuchungulia tuu dirishani!.

Si aheri uhuru huo mlio nao!. Muwe na shukrani kwenye madogo ili muweze kupatiwa makubwa!.
Hakuna uhuru usio na mipaka, na hakuna haki bila wajibu!.
Pasco

Paskali leo umechafukwa asubuhi asubuhi, Zanzibar ni nchi kamili, yenye Rais wake, katiba yake, na inajiendeshea mambo.

Waache wajichagulie wamtakaye.
 
Back
Top Bottom