Habari zenu wanajamvi, kuna rafiki yangu kaniomba ushauri nimeshindwa nimshauri vipi kuhusu tatizo lake, naomba tushirikiane kumshauri, yeye pia yumo humu anasoma ushauri wenu.
Yeye aliolewa miaka 6 iliyopita, mumewe amemnyanyasa sana, katika ndoa yao walibahatka kupata watoto watatu na walifunga ndoa ya bomani.
Waliposhindwana mwaka jana wakaachana kwa talaka.
Dada wa watu kalea watoto wake vzur tu bila kuwa na mwanaume, sasa wiki iliyopita kakutana na boyfriend wake wa primary na ni anampenda hatare afu hawajawah kugegedana! Jamaa hajaoa bt alikuwa anasoma nje, karudi ndo kafungua kampuni yake.
Walipokutana na huyo best yangu jamaa kamwambia best yangu bdo anampenda sana tu so anaomba wafunge ndoa ya kiislamu, mdada muislam jamaa mkristo bt jamaa yupo tayar kubadil dini amuoe mdada huyu.
Kasheshe sasa, mume walieachana nae amerud anaomba msamaha warudiane wakafunge ndoa upya walee watoto wao! Sasa rafik yangu amebaki dillema hajui afanye nini, yule wa primary ndo anampenda wanapendana tangu watoto wadogo, haya mume nae ndo karudi anaomba msamaha yaishe.
Mawazo yenu please wandugu
dah ivi wanaume walirogwa na na? kamwachia watoto alee mwenyewe eti leo anaomba msamaha? msamaha ya foot asikubariiiiiHabari zenu wanajamvi, kuna rafiki yangu kaniomba ushauri nimeshindwa nimshauri vipi kuhusu tatizo lake, naomba tushirikiane kumshauri, yeye pia yumo humu anasoma ushauri wenu. Yeye aliolewa miaka 6 iliyopita, mumewe amemnyanyasa sana, katika ndoa yao walibahatka kupata watoto watatu na walifunga ndoa ya bomani. Waliposhindwana mwaka jana wakaachana kwa talaka. Dada wa watu kalea watoto wake vzur tu bila kuwa na mwanaume, sasa wiki iliyopita kakutana na boyfriend wake wa primary na ni anampenda hatare afu hawajawah kugegedana! Jamaa hajaoa bt alikuwa anasoma nje, karudi ndo kafungua kampuni yake. Walipokutana na huyo best yangu jamaa kamwambia best yangu bdo anampenda sana tu so anaomba wafunge ndoa ya kiislamu, mdada muislam jamaa mkristo bt jamaa yupo tayar kubadil dini amuoe mdada huyu. Kasheshe sasa, mume walieachana nae amerud anaomba msamaha warudiane wakafunge ndoa upya walee watoto wao! Sasa rafik yangu amebaki dillema hajui afanye nini, yule wa primary ndo anampenda wanapendana tangu watoto wadogo, haya mume nae ndo karudi anaomba msamaha yaishe. Mawazo yenu please wandugu
Kasheshe sasa, mume walieachana nae amerud anaomba msamaha warudiane wakafunge ndoa upya walee watoto wao! Sasa rafik yangu amebaki dillema hajui afanye nini, yule wa primary ndo anampenda wanapendana tangu watoto wadogo, haya mume nae ndo karudi anaomba msamaha yaishe.
Huyo mwanamke uamuzi wowote atakaoufanya atajuta mbeleni, iwe kurudiana au kuolewa upya kijana pedeshee huyo...
Mark my words!!!
aolewe na aliyetoka ulaya
Habari zenu wanajamvi, kuna rafiki yangu kaniomba ushauri nimeshindwa nimshauri vipi kuhusu tatizo lake, naomba tushirikiane kumshauri, yeye pia yumo humu anasoma ushauri wenu.
Yeye aliolewa miaka 6 iliyopita, mumewe amemnyanyasa sana, katika ndoa yao walibahatka kupata watoto watatu na walifunga ndoa ya bomani.
Waliposhindwana mwaka jana wakaachana kwa talaka.
Dada wa watu kalea watoto wake vzur tu bila kuwa na mwanaume, sasa wiki iliyopita kakutana na boyfriend wake wa primary na ni anampenda hatare afu hawajawah kugegedana! Jamaa hajaoa bt alikuwa anasoma nje, karudi ndo kafungua kampuni yake.
Walipokutana na huyo best yangu jamaa kamwambia best yangu bdo anampenda sana tu so anaomba wafunge ndoa ya kiislamu, mdada muislam jamaa mkristo bt jamaa yupo tayar kubadil dini amuoe mdada huyu.
Kasheshe sasa, mume walieachana nae amerud anaomba msamaha warudiane wakafunge ndoa upya walee watoto wao! Sasa rafik yangu amebaki dillema hajui afanye nini, yule wa primary ndo anampenda wanapendana tangu watoto wadogo, haya mume nae ndo karudi anaomba msamaha yaishe.
Mawazo yenu please wandugu
Kwa hiyo awaache wote?