Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 117
- 387
Aloo kuna mitingo mingi yenye kuleta stimu lakini sigara haina faida yeyote, hupati stimu yeyeto zaidi ya kuujaza moshi kwenye mapafu tu.
Alafu ilivyo na uraibu mbaya yani ukiamka asubuhi tu chakwanza fegi iko wapi, kosa usishibe msosi utaitafuta fegi ilipo wengine wamefika mbali hawezi kupata haja bila kuvuta sigara.
Unaweza shtuka ata usiku mnene ukatembea umbali mrefu kufuata sigara tu.
Uwezi kuona karaha ya sigara kama Mvutaji, Jaribu kukaa pembeni ya Mvutaji utaona kero zake.
Sigara inasababisha mdomo kunuka pia meno yanakosa uang'avu wake, binafsi nimeshuhudia watu kadhaa wakitoa ushuhuda walivyo pigwa mabomba ya kutoa moshi kwenye mapafu kadharika kansa ya mapafu na kansa ya koo ni matokeo ya uvutaji wa sigara kwa muda mrefu.
Bado haujachelewa muda bado upo chin up kwa kuanza punguza Idadi ya sigara unazovuta kwa siku pia kama unaweza funga pia inasahidia.
Alafu ilivyo na uraibu mbaya yani ukiamka asubuhi tu chakwanza fegi iko wapi, kosa usishibe msosi utaitafuta fegi ilipo wengine wamefika mbali hawezi kupata haja bila kuvuta sigara.
Unaweza shtuka ata usiku mnene ukatembea umbali mrefu kufuata sigara tu.
Uwezi kuona karaha ya sigara kama Mvutaji, Jaribu kukaa pembeni ya Mvutaji utaona kero zake.
Sigara inasababisha mdomo kunuka pia meno yanakosa uang'avu wake, binafsi nimeshuhudia watu kadhaa wakitoa ushuhuda walivyo pigwa mabomba ya kutoa moshi kwenye mapafu kadharika kansa ya mapafu na kansa ya koo ni matokeo ya uvutaji wa sigara kwa muda mrefu.
Bado haujachelewa muda bado upo chin up kwa kuanza punguza Idadi ya sigara unazovuta kwa siku pia kama unaweza funga pia inasahidia.