flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 744
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe,
Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa,
Wa tatu kakaa dukani,
Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu
Akaulizwa: kwa nini hukutoroka kama wenzako..??
Kajibu: Sisi tulikuwa watatu:-
Mmoja kachukua dhahabu,
Mwingine pesa na mm nimechukua duka
Hahahahahahaaa
Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa,
Wa tatu kakaa dukani,
Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu
Akaulizwa: kwa nini hukutoroka kama wenzako..??
Kajibu: Sisi tulikuwa watatu:-
Mmoja kachukua dhahabu,
Mwingine pesa na mm nimechukua duka
Hahahahahahaaa