Wavuta bangi wawili waliliona embe juu ya mti wakaamua kulipopoa.Walirusha mawe mengi bila kufanikiwa kuliangusha lile embe.Mvuta bangi mmoja akasema;isije ikawa embe lenyewe bichi,ngoja nipande juu nikalicheki.Baada ya dakika 5,yule mvuta bangi akashuka chini,akamwambia mwenzie;nimelibonyeza limeiva vizuri kabisa,tuendelee kulipopoa mwana wane!
We ni yupi kati ya aliyepanda mtini na huyu aliyebaki chini..???Wavuta bangi wawili waliliona embe juu ya mti wakaamua kulipopoa.Walirusha mawe mengi bila kufanikiwa kuliangusha lile embe.Mvuta bangi mmoja akasema;isije ikawa embe lenyewe bichi,ngoja nipande juu nikalicheki.Baada ya dakika 5,yule mvuta bangi akashuka chini,akamwambia mwenzie;nimelibonyeza limeiva vizuri kabisa,tuendelee kulipopoa mwana wane!