Wavamizi wakiondoka tu Gambia, Barrow anapigwa chini!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Hii natabiri kutokea, Waafrika wavamizi haramu ambao wako nchini Gambia mpka leo, siku wakitoa tu mguu Kibaraka Barrow anapigwa chini, hilo halina ubishi pamoja na propaganada nyingi zinazoendelea lkn ukweli ni kwamba Wagambia hawamtaki huyu Kibaraka na uchaguzi ulikuwa rigged na Wazungu pmj na vibaraka vyao ili kumsimika Barrow!

Wazungu na vibaraka wao wa Kiafrika wamekuwa wakituambia kwamba Jeshi halimtii tena Jammeh, sasa majeshi ya Afrika yanafanya nini nchini Gambia? Na siku yakiondoka tu huyo Barrow labda waende naye,...
 
Hii natabiri kutokea, Waafrika wavamizi haramu ambao wako nchini Gambia mpka leo, siku wakitoa tu mguu Kibaraka Barrow anapigwa chini, hilo halina ubishi pamoja na propaganada nyingi zinazoendelea lkn ukweli ni kwamba Wagambia hawamtaki huyu Kibaraka na uchaguzi ulikuwa rigged na Wazungu pmj na vibaraka vyao ili kumsimika Barrow!

Wazungu na vibaraka wao wa Kiafrika wamekuwa wakituambia kwamba Jeshi halimtii tena Jammeh, sasa majeshi ya Afrika yanafanya nini nchini Gambia? Na siku yakiondoka tu huyo Barrow labda waende naye,...
Mkuu mbona unatumia nguvu nyingi kupingana na ukweli.
wangekuwa wana shida na jameh wangemuua kabisa au wangemkamata wakampeleka mahakama ya kimataifa maana alichelewa kukimbia
 
Mkuu mbona unatumia nguvu nyingi kupingana na ukweli.
wangekuwa wana shida na jameh wangemuua kabisa au wangemkamata wakampeleka mahakama ya kimataifa maana alichelewa kukimbia


Wasingeweza kwa maana Gambia siyo Mwanachama wa ICC, hata hivyo hiyo inakuja ili kumzuia Jammeh asirudi kugombea tena, huu ndiyo mwanzo tu, labda nikuulize Majeshi ya Waafrika yanafanya nini nchini Gambia kama Jeshi la Gambia limemkubali huyu Barrow?
 
Wasingeweza kwa maana Gambia siyo Mwanachama wa ICC, hata hivyo hiyo inakuja ili kumzuia Jammeh asirudi kugombea tena, huu ndiyo mwanzo tu, labda nikuulize Majeshi ya Waafrika yanafanya nini nchini Gambia kama Jeshi la Gambia limemkubali huyu Barrow?
yataondoka tu mkuu mambo bado hayajakaa sawa maana jemmeh ana vibaraka wake kule alioshirikiana nao miaka yote aliyokuwa madarakani kwa hiyo lazima wahakikishe usalama wa raisi mpya
 
Hii natabiri kutokea, Waafrika wavamizi haramu ambao wako nchini Gambia mpka leo, siku wakitoa tu mguu Kibaraka Barrow anapigwa chini, hilo halina ubishi pamoja na propaganada nyingi zinazoendelea lkn ukweli ni kwamba Wagambia hawamtaki huyu Kibaraka na uchaguzi ulikuwa rigged na Wazungu pmj na vibaraka vyao ili kumsimika Barrow!

Wazungu na vibaraka wao wa Kiafrika wamekuwa wakituambia kwamba Jeshi halimtii tena Jammeh, sasa majeshi ya Afrika yanafanya nini nchini Gambia? Na siku yakiondoka tu huyo Barrow labda waende naye,...
Mchango wako ni upi kuhusu Jammeh kutoroka na zile pesa?

Pia unasemaje kuhusu Chemicals za sumu zilizokutwa Ikulu!
 
yataondoka tu mkuu mambo bado hayajakaa sawa maana jemmeh ana vibaraka wake kule alioshirikiana nao miaka yote aliyokuwa madarakani kwa hiyo lazima wahakikishe usalama wa raisi mpya


Lakini wakiondoka waondoke naye, nimesikia watakuwepo hapo kwa muda mrefu mpaka sasa hvi wamesema wataikalia Gambia kimabavu kwa mwaka mzima, swali ni kwa nini kama Jammeh hakubaliki?
 
Wasingeweza kwa maana Gambia siyo Mwanachama wa ICC, hata hivyo hiyo inakuja ili kumzuia Jammeh asirudi kugombea tena, huu ndiyo mwanzo tu, labda nikuulize Majeshi ya Waafrika yanafanya nini nchini Gambia kama Jeshi la Gambia limemkubali huyu Barrow?
process ya kujitoa ilikuwa haijakamilika,bado wako icc na barrow kasema wanabaki,halafu unachomtetea ni nini? au sababu zenji walifanya hivyo???shame on you
 
process ya kujitoa ilikuwa haijakamilika,bado wako icc na barrow kasema wanabaki,halafu unachomtetea ni nini? au sababu zenji walifanya hivyo???shame on you


Napinga uvamizi na ukaliaji kimabavu wa nchi nyingine, napinga kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine!
Swali, ni kwa nini wanaikalia Gambia kimabavu kama Jammeh alishaondoka? Kwa nini Majeshi ya wavamizi wa Kiafrika wanataka kukaa Gambia kwa zaidi ya mwaka?
 
Lakini wakiondoka waondoke naye, nimesikia watakuwepo hapo kwa muda mrefu mpaka sasa hvi wamesema wataikalia Gambia kimabavu kwa mwaka mzima, swali ni kwa nini kama Jammeh hakubaliki?
Wananchi wanampenda ndiyo maana alishinda uchaguzi lakini si ajabu jeshi likawa linamuunga mkono jammeh maana viongozi wa jeshi ni vibaraka wake hata waliomgeuka walimgeuka mwishoni baadi ya kuona hawana ubavu wa kupambana na jeshi la ecowas.
 
Wasingeweza kwa maana Gambia siyo Mwanachama wa ICC, hata hivyo hiyo inakuja ili kumzuia Jammeh asirudi kugombea tena, huu ndiyo mwanzo tu, labda nikuulize Majeshi ya Waafrika yanafanya nini nchini Gambia kama Jeshi la Gambia limemkubali huyu Barrow?
Hilo jeshi LA Gambia lenye wanajeshi sawa na bataliani moja ya jeshi la Tanzania pamoja na helicopter mbili ndio unalozungumzia?
 
Wasingeweza kwa maana Gambia siyo Mwanachama wa ICC, hata hivyo hiyo inakuja ili kumzuia Jammeh asirudi kugombea tena, huu ndiyo mwanzo tu, labda nikuulize Majeshi ya Waafrika yanafanya nini nchini Gambia kama Jeshi la Gambia limemkubali huyu Barrow?
Sasa unadhani na yy ni bwege hajui hayo.kila kitu kinafahamika,usipingane na ukweli
 
Napinga uvamizi na ukaliaji kimabavu wa nchi nyingine, napinga kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine!
Swali, ni kwa nini wanaikalia Gambia kimabavu kama Jammeh alishaondoka? Kwa nini Majeshi ya wavamizi wa Kiafrika wanataka kukaa Gambia kwa zaidi ya mwaka?
Huwa napata shida sana kuelewa akili yako. Hivi unadhani walijiamulia tu kwenda kumtoa jammeh? Jammeh hayajui makubaliano yaliyopo kati ya nchi za ECOWAS kuhusu suala democracy? 22 years in power, wananchi wamemkataa kwa njia ya kidemocrasia bado unaona ameonewa.

Ukilinganisha ECOWAS na EAC iliyojaa power mongers weather kwa kutumia vyama au watu binafsi lazima ukubali kuwa wenzetu ECOWAS wako very committed kuhusu democracy. Ukienda Uganda unakutana na mu7 hana hata wazo la kuiruhusu democracy ishamiri, Burundi usiseme, Rwanda ndo balaa, Tanzania ccm hawana hata mpango wa kuruhusu mazingira huru kwa vyama vyote, kada wa chama ndiye mwenyekiti wa tume wa wilaya kisa tu eti ni mkurugenzi.
Sisi ni wafu wanaoishi kuhusu democracy. We better got neither EAC
no SADC.
 
Hii natabiri kutokea, Waafrika wavamizi haramu ambao wako nchini Gambia mpka leo, siku wakitoa tu mguu Kibaraka Barrow anapigwa chini, hilo halina ubishi pamoja na propaganada nyingi zinazoendelea lkn ukweli ni kwamba Wagambia hawamtaki huyu Kibaraka na uchaguzi ulikuwa rigged na Wazungu pmj na vibaraka vyao ili kumsimika Barrow!

Wazungu na vibaraka wao wa Kiafrika wamekuwa wakituambia kwamba Jeshi halimtii tena Jammeh, sasa majeshi ya Afrika yanafanya nini nchini Gambia? Na siku yakiondoka tu huyo Barrow labda waende naye,...
Mkuu hautabiri bali HUTAKI demokrasia.
Kulingana na ulivyoandika yaonekana una chuki kama ifuayavyo
Umetaja Maneno haya:
Wavamizi mara 1.
Vibaraka mara 4.
Wazungu mara 2.
Rigged mara moja Huo si utabiri ni CHUKI.
Demokrasia si FIZIKIA Ama DIRAC equation.
Bali ni Uhuru wa kuchagua nk.
 
Huwa napata shida sana kuelewa akili yako. Hivi unadhani walijiamulia tu kwenda kumtoa jammeh? Jammeh hayajui makubaliano yaliyopo kati ya nchi za ECOWAS kuhusu suala democracy? 22 years in power, wananchi wamemkataa kwa njia ya kidemocrasia bado unaona ameonewa.

Ukilinganisha ECOWAS na EAC iliyojaa power mongers weather kwa kutumia vyama au watu binafsi lazima ukubali kuwa wenzetu ECOWAS wako very committed kuhusu democracy. Ukienda Uganda unakutana na mu7 hana hata wazo la kuiruhusu democracy ishamiri, Burundi usiseme, Rwanda ndo balaa, Tanzania ccm hawana hata mpango wa kuruhusu mazingira huru kwa vyama vyote, kada wa chama ndiye mwenyekiti wa tume wa wilaya kisa tu eti ni mkurugenzi.
Sisi ni wafu wanaoishi kuhusu democracy. We better got neither EAC
no SADC.


Na hauwezi kunielewa kwa maana niko mbele yako sana kwenye haya mambo, ninayoyaona wewe utakuja kuyaona labda miaka 20 ijayo!
 
Back
Top Bottom