Villanova tito
Senior Member
- Dec 20, 2016
- 148
- 154
Ninunulie bas nguo za mtumba, nitambe nazo mjini.
Umeanza.DIVISHENI FOO hii lazia itakufaa, wapi Mshangazi dot com Nusratt .
Hii kitu kwenu ni super substitute, mume akienda likizo ya kikazi basi yenyewe huziba pengo na wakati mwingine hata mume anaweza asitamanike tena.
Ukitaka ije kwa ndege itakuja kwa ndege, ukisema kwa meli vivyo hivyo itakuja kwa meli.Umeanza.
Inakuja kwa ndege au kwa meli?
Basi niwekee oda kimoja.Ukitaka ije kwa ndege itakuja kwa ndege, ukisema kwa meli vivyo hivyo itakuja kwa meli.
Ni juu yako.
Okay. Size yako ni ngapi?Basi niwekee oda kimoja.
Ila uhakikishe kinanifikisha safari yangu.