lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Jamani nimegundua watu wengi wanaoenda Mlimani City wanakuwa hawana issue ya maana zaidi ya kwenda kuuza sura.
Iko hivi, ukifika Mlimani City utawakuta mabrazamen na masista duu kibao wanatembeatembea tu bila mpango wowote atashangaa hiki mara kile atakaa chini anapiga miayo ya njaa mara atajifanya yupo bize na kismart phone cha mchina kumbe hakina salio lolote,baada ya muda watanunua ice cream za watoto watalambalamba.
Wakimaliza kuuza sura wataondoka zao.
Wakuu mkitaka kuamini nendeni Mlimani City mtawaona .
Jamani nendeni Mlimani City mkiwa na issue za maana na sio kuuza sura tu.
Iko hivi, ukifika Mlimani City utawakuta mabrazamen na masista duu kibao wanatembeatembea tu bila mpango wowote atashangaa hiki mara kile atakaa chini anapiga miayo ya njaa mara atajifanya yupo bize na kismart phone cha mchina kumbe hakina salio lolote,baada ya muda watanunua ice cream za watoto watalambalamba.
Wakimaliza kuuza sura wataondoka zao.
Wakuu mkitaka kuamini nendeni Mlimani City mtawaona .
Jamani nendeni Mlimani City mkiwa na issue za maana na sio kuuza sura tu.