Wauza nafaka tukutane hapa

Wauza nafaka tukutane hapa

Nina karanga za dodoma ,nauza kwa kilo mzigo upo powa kilo ya kuchukua kwa jumla 2300@Kg nichek Dm,Npo DSM
 
nataka kufungua store Ya nafaka hapa Dar kwa wauzaji WA nafaka mikoani tuwasiliane tuyajenge
Nauza unga wa mahindi dona na sembe kwa jumla, yaan nasagisha mwenyewe na kupak kwenye viroba, karbu tufanye biashara, tani zozote unazohitaji nakuletea had kwenye biashara yako ilpo
 
Nauza unga wa mahindi dona na sembe kwa jumla, yaan nasagisha mwenyewe na kupak kwenye viroba, karbu tufanye biashara, tani zozote unazohitaji nakuletea had kwenye biashara yako ilpo
Ungeweka na bei nadhani ingependeza zaidi
 
Mimi nauza nafaka za jumla nipo dar mwananyamala sokoni... Ukitaka kuleta kutoka shamba sawa au ukitaka kuja kununua sawa pia
 
Mimi nauza nafaka za jumla nipo dar mwananyamala sokoni... Ukitaka kuleta kutoka shamba sawa au ukitaka kuja kununua sawa pia
Mahindi unanunua mkuu? Na kama ndio ni kiasi gani
 
Back
Top Bottom