Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,269
Habari wandugu
Kama title inavyojieleza, nimeona ni vyema kuanzisha Uzi huu ili iwe rahisi kwa wadau (wauzaji na wanunuzi wa nafaka mbali mbali) kukutana na kufikiana. Taja aina ya nafaka unazoziuza,bei ,na mahali unapopatikana. Binafsi Mimi nipo kwenye upande wa wanunuzi hivyo itatusaidia sisi wanunuzi kuona namna ya kuweza kufikiana na wauzaji kirahisi zaidi. Karibuni
Kama title inavyojieleza, nimeona ni vyema kuanzisha Uzi huu ili iwe rahisi kwa wadau (wauzaji na wanunuzi wa nafaka mbali mbali) kukutana na kufikiana. Taja aina ya nafaka unazoziuza,bei ,na mahali unapopatikana. Binafsi Mimi nipo kwenye upande wa wanunuzi hivyo itatusaidia sisi wanunuzi kuona namna ya kuweza kufikiana na wauzaji kirahisi zaidi. Karibuni

