Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 605
Mara nyingi jioni nikitoka kwenye mishe zangu napita kwa jamaa mmoja anauza machungwa nakula chungwa zangu kama tano hivi ndo nasepa geti
Sasa leo nimepita nikachukua chungwa kama tano hivi nikakaa hapo hapo taratibu nikaanza kula sasa baada ya muda kidogo alikuwa anajukuna kwenye makalio tena ndani ya boxer yaani nilijisikia hovyo kweli yaani hadi tumbo likawa linauma….uchafu tunaokula sio poa.
Sasa leo nimepita nikachukua chungwa kama tano hivi nikakaa hapo hapo taratibu nikaanza kula sasa baada ya muda kidogo alikuwa anajukuna kwenye makalio tena ndani ya boxer yaani nilijisikia hovyo kweli yaani hadi tumbo likawa linauma….uchafu tunaokula sio poa.